kaburu mdogo
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 567
- 400
naomba kuuliza,zamani nilikua naenda hadi bao sita ndani ya masaa manne lakini toka juzi nikifanya mapenzi naishia bao mbili,jana moja na tena nakua nimechoka sana.naoommbeni ushauri wenu tatizo ni nini hasa na tiba yake ni ipi.asanteni
fanya mazoezi kijana na punguza mawazo
Hivi hii kitu mpaka ufanye mara ngapi ndio uwe umepata starehe? Au umekuwa msosi hadi upate hadi snacks? kwani mara moja haitoshi?[/QUOTE]
refer above bolded text; Inadipendi na stop engine ambayo unatumia kwa siku iyo, so kama ni softdrink unachapa na kupoure and alot, but kama ni bajaji tena sinajuwa mambo yake mala mafuta yamekata mpaka ucharge, nk...............................
Zamani ulikua unakula pumba mahindi na tangawizi ndio maana uliweza,tangu uanze kula biskut na viepe perfomance poor.