DOKEZO Upunguzwaji wa Mabehewa kiholela (Treni za Mwakyembe) unahatarisha Usalama wetu

DOKEZO Upunguzwaji wa Mabehewa kiholela (Treni za Mwakyembe) unahatarisha Usalama wetu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Upunguzwaji wa Mabebewa kiholela kwenye Treni ya Mwakyembe (Tazara - Mwakanga) ni kero kubwa kwa abiria, inajaza kupita kiasi na kuhatarisha Usalama wa abiria.

Imekuwa hatari pia kwa magonjwa ya mlipuko ya kuambukiza.

Tunaombeni mtufikishie ujumbe huu.

IMG-20240221-WA0003.jpg
IMG-20240221-WA0003.jpg


Hizi picha zinaonesha namna tunavyobanana ndani ya behewa moja
 
Back
Top Bottom