Upuuzi huu wa Wanasimba wenzangu na baadhi ya Waandishi wa Habari za Michezo siwezi Kuuvumilia na leo nawatoleeni Uvivu.....!

Bora umewaambia mkuu
 
Kwani usipoishabikia sima we ni nani? So afadhali ujiondokee zako utupunguzie mikosi!
 
Mtoa mada uko sahihi kabisa...ningekuwa bosi wa Simba, huyo Kocha msaidizi ningeshamfungishia virago,mbona alipigwa 2 kwa 0 na Gor-mahia washabiki walikaa kimya, wakt huo walimsema sana kocha mkuu aliyeiwezesha simba hadi ikafika fainali ya Sportpesa....huyu kocha msaidizi wasipomuangalia atukuwa na nguvu kuliko wenye timu yao.
 
Namm siwez kuendelea kubishana na wewe jaribu kuwatishia wanyonge wenzio unaowatukana kila siku wanakuangalia tu, be careful sio kila mtu ni mnyonge Kama unavodhania
Acheni umaku,na v###mi vya mama zenu
 
nyie mikia wote mnafanana tu akili zenu! na leo mmekiona cha mtema kuni, ndo maana mmeangukiwa na mbao. na bado!
 
umeongea ukweli bro simba wanazingua hasa ukifuatilia magezeti unaweza kufikir wana kiwango cha juu kuliko hata timu ya msuva
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…