Ikulu wanasema kuwa kuwa na website sio muhimu
Staff wa ikulu wanatumia e-mails za YAHOO
Ikulu wanasema kwa mwenye malalamiko anashauriwa aandike kwenye official e-mail ya ikulu:
mawasilianoikulu@yahoo.com
Hawa jamaa badala ya kwenda kujenga Ikulu inayoeleweka Dodoma wanazidi kufanya miradi yao isiyoeleweka Dar
Ikulu iliopo haina carpark na wakija waheshimiwa ndio mji mzima foleni
sasa solution yao ni ku spenda MABILIONI kwenye kujenga huu ukumbi mpya wakati watu wana njaa
Halafu mbona hawakutangaza hii kazi ya ku-design publicly kama PPA inavyotaka au ndio washaamua kupeana?
Lakini maswali ya msingi ni:
Wako wapi wale wana mazingira waliopinga ile barabara ya SERENGETI?
kilichobaki ni wawakilishi wa JAMII MEDIA wakienda kwenye MONTHLY press conference ikulu waulize maswali yafuatayo:
1. Kuna umuhimu gani kufanya hii project now
2. Project ita cost kiasi gani
3. Funding zitatoka wapi
4. Itachukua muda gani?
5. Kwa nini designers wamechakuliwa pasipo kutanganzwa kama Public Procurement Act inavyotaka (PPA)
6. Tender board ilitumia vigezo vipi?
7. Hiyo tenderboard ilikuwa na akina nani?
8. Je Environmental Impact Assessment Report inasemaje?
9. Mbona hatuambiwi kitu kuhusu Traffic Management? na mbona hatuambiwi ujenzi huu utaleta impact ya namna gani kwa waendao ferry na mjini
10. Kwa nini Ikulu isihamishiwe DODOMA?
11. Wale watu wa Mazingira waliopinga Barabara ya serengeti mbona wako kimya juu ya huu mradi?
12. Carbon footprint ya kiasi gani itapotea hapa kwa kukatwa miti? wamepanga vipi kuirejesha hiyo footprint?
Client: PRESIDENT'S OFFICE,STATE HOUSE
Project: New Multi-Function Hall
Location: State House, Dar es Salaam
Completion: Construction to commence 2012
Floor Area: 6000m2
Contract Value: Not Available
A new major multi-function venue at State House intended to cater for Banquets of up to 500 guests as well as international conferences. The main plenary space is supported by full, international standard, kitchen facilities as well as break out rooms, press areas, pre-function gathering areas and VIP suites. In order to minimize the impact on the State House surroundings the function hall has been designed to have a green (grass) roof so it blends into the surrounding landscaping. It has also been designed around an existing mature baobab tree which forms the centerpiece of the pre-function area.
IPA
Staff wa ikulu wanatumia e-mails za YAHOO
Ikulu wanasema kwa mwenye malalamiko anashauriwa aandike kwenye official e-mail ya ikulu:
mawasilianoikulu@yahoo.com
Hawa jamaa badala ya kwenda kujenga Ikulu inayoeleweka Dodoma wanazidi kufanya miradi yao isiyoeleweka Dar
Ikulu iliopo haina carpark na wakija waheshimiwa ndio mji mzima foleni
sasa solution yao ni ku spenda MABILIONI kwenye kujenga huu ukumbi mpya wakati watu wana njaa
Halafu mbona hawakutangaza hii kazi ya ku-design publicly kama PPA inavyotaka au ndio washaamua kupeana?
Lakini maswali ya msingi ni:
Wako wapi wale wana mazingira waliopinga ile barabara ya SERENGETI?
kilichobaki ni wawakilishi wa JAMII MEDIA wakienda kwenye MONTHLY press conference ikulu waulize maswali yafuatayo:
1. Kuna umuhimu gani kufanya hii project now
2. Project ita cost kiasi gani
3. Funding zitatoka wapi
4. Itachukua muda gani?
5. Kwa nini designers wamechakuliwa pasipo kutanganzwa kama Public Procurement Act inavyotaka (PPA)
6. Tender board ilitumia vigezo vipi?
7. Hiyo tenderboard ilikuwa na akina nani?
8. Je Environmental Impact Assessment Report inasemaje?
9. Mbona hatuambiwi kitu kuhusu Traffic Management? na mbona hatuambiwi ujenzi huu utaleta impact ya namna gani kwa waendao ferry na mjini
10. Kwa nini Ikulu isihamishiwe DODOMA?
11. Wale watu wa Mazingira waliopinga Barabara ya serengeti mbona wako kimya juu ya huu mradi?
12. Carbon footprint ya kiasi gani itapotea hapa kwa kukatwa miti? wamepanga vipi kuirejesha hiyo footprint?
Client: PRESIDENT'S OFFICE,STATE HOUSE
Project: New Multi-Function Hall
Location: State House, Dar es Salaam
Completion: Construction to commence 2012
Floor Area: 6000m2
Contract Value: Not Available
A new major multi-function venue at State House intended to cater for Banquets of up to 500 guests as well as international conferences. The main plenary space is supported by full, international standard, kitchen facilities as well as break out rooms, press areas, pre-function gathering areas and VIP suites. In order to minimize the impact on the State House surroundings the function hall has been designed to have a green (grass) roof so it blends into the surrounding landscaping. It has also been designed around an existing mature baobab tree which forms the centerpiece of the pre-function area.
IPA