Upuuzi mwingine wa Ikulu huu hapa

hii serikali ya m''kwere ni vururuvururu tu tangu aingie madarakani, sasa wanaharibu hadi nature ya magogoni, uuuuuuwiiiiiiiiiiiiiii.....niikahi moyo wangu.

Mpango huu ulikuwapo tangu enzi za Mkapa, serikali ya awamu ya nne ya JK imeendeleza tu wazo la serikali ya awmu ya tatu
 

Nani kakwambia Ikulu ni mahali pa international Conferences?
ile ni ofisi na makazi ya mtawala wa nchi. Full stop.
 


Una wazo zuri kama nimekuelewa kwamba huipingi project bali sio wakati wake basi kama ndivyo tunaweza kuwatumiwa wabunge wawakilishi wetu waiombe serikali kusimamisha kwamba mpango huo badala ya matusi.
 
International conferences Ikulu? what next - kitchen party?

Ni Ikulu gani duniani inatumiwa kwa 'international conferences? Usalama utakuwaje?
 
huu ujenzi utagharimu tshs ngapi?na unategemea kumalizika lini?
 
Mama porojo.... There is no way anyone would justify investing anything at magogoni it is already congested, risky and against national plan to move to Dodoma....

Or rather they would take a thousand acres in kigamboni and build a new state house.... No matter what! Can't justify a multi million dollars investment in the current magogoni, especially now!
 
Ukumbi Ikulu? wenye majiko na VIP Rooms?.....
Running cost ya hilo jengo nani atagharamia? mikutano mikubwa kiasi hicho huwa mingapi kwa mwaka Tanzania? itakuwepo kila wakati?
 
pesa za website na e-mails hawana lakini mabilioni for this stupidity yapo

I hope JK hatosign huu upuuzi

amwachie lowassa hichi kiporo
 
Unless utupe taarifa sahihi juu ya kuwepo kwa Design ya Ukumbi huo! Mpaka sasa taarifa yako inaonyesha kuwa kuna wazo la kujenga Ukumbi wenye sq.m za mraba 6000 wenye uwezo wa kumudu wageni wasio pungua 500 katika viwanja vya Ikulu. Ukumbi huo unafikirika uwe na picha au taswira kama hizo ulizo onyesha hapo juu na husisababishe ukataji wa miti kama Mibuyu kwa kuifanya iwe sehemu ya paa la juu na nguzo za kumbi.

Hakuna ushahidi wowote uliotoa kuwa tayari kuna Design ya ukumbi huo, nadhani ndio maana hata gharama za ujenzi hazijulikani wala michoro uliyotowa siyo michoro ya Design bali ni taswira la wazo linalofikiwa lifanyike.
 
Mama Porojo, acha porojo bana...............etu tungoje bunge ndo litajadili.........

kwahiyo sisi tunyamaze tu!!...................kweli aliyekutuma akili sawa na ya kwako.


Manufacturing of teachers.
 
Hii ni njia nyingine huyu mkweree na genge lake wamebuni mradi kutaka kwaibia masikini wananchi ; wakati wanasema hawana fedha za kulipa mishahara ya madaktari lakini wanazo fedha za majengo!! Hizo fedha za NSSF nyie jamani ni za wenyewe wafanyakazi msizimalize kwa maslahi yenu binafsi, kama mna shida ya ukumbi wa kimataifa mbona ule pale benki kuu umejengwa kwa mabiioni ya fedha na hautumiki!!
 
International conferences Ikulu? what next - kitchen party?

Ni Ikulu gani duniani inatumiwa kwa 'international conferences? Usalama utakuwaje?

hii nchi kuna mambo ya kilimbukeni hujawahi hata kuyaota kwenye ndoto!
Hata suala la Radar na Ndege ya rais, yote tuliyaendesha kwa ulimbukeni wa hali ya juu...
 
........."Twenty Thousands Blue Blistering Barnacles!".........damn!
 
Ina maana NSSF ndio wanajenga huuu ukumbi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…