City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Haruna Niyonzima aliyekuwepo kwenye kikosi kilichoshiriki michuano ya Sportpesa.Kwani yupi unaemjua!?
ILA LEO HAKUCHEZA .Haruna Niyonzima aliyekuwepo kwenye kikosi kilichoshiriki michuano ya Sportpesa.
Haruna Niyonzima aliyekuwepo kwenye kikosi kilichoshiriki michuano ya Sportpesa.
Yapeleken shamban majembe yenu yakalime, hapo ni okwi na boko tu hao wengine niwachezaj wabenchi hata vpl wamecheza kwamachaleMajembe kama Okwi, Boko, Kotei, Gyan, Ndemla, Niyonzima nk wote hawakuwepo ktk mashindano
Bila Kumsahau Asante KwasiMajembe kama Okwi, Boko, Kotei, Gyan, Ndemla, Niyonzima nk wote hawakuwepo ktk mashindano
Wanaboa sana viongozi wetu upuuzi mtupu, kila jambo hatuko makini, na hata wachezaji wenyewe hawakua makini watu wamefungwa wanacheza kama wameshindaInakera sana kuwa na viongozi maamuma ktk soka la nchi yetu, miaka nenda rudi tutakuwa hivi hivi kwa ujinga ujinga na mzaha tunaofanya.
Kwani mmesajili wachezaji wangapi?ILA LEO HAKUCHEZA .