Upweke unanisumbua wakuu

katt williams

Member
Joined
Nov 9, 2009
Posts
31
Reaction score
1
Mimi ni kijana mwenye elimu ya uzamili, na ninaf anyakazi katika benki. Sijaoa na siku zinazidi kwenda na ningependa kuwa na familia.

Kiumbile mimi ni mpana kiasi, sio menene. Nakunywa kidogo na nimtu wa kupenda kutoka.

Natafuta msichana mnene kidogo au wastani, kusema ya ukweli wembambaaa siwezani nao. Awe na elimu ya kuzaliwa/kupambanua mambo. Kabila lolote na mcha Mungu.

Wandugu niko serious sana katika ombi langu naamini kama una ndugu au rafiki umfikishie ujumbe huu.
 
Kiongozi kila la kheri.

Ila angalia wengine midume huku wanajifanya mademu. usije ukaweka appointment na dume jenzio pakawa hapatoshi.
 
mmmhhhh wewe yaelekea uko serious,ni PM basi tuongee.......at least leo kigezo changu cha elimu ya kuzaliwa kipo.....kila siku nilikuwa nikitaka ku-apply elimu unakuta wanataka kuanzia form four.....leo hii yaweza kuwa riziki...........kila la kheri mkuu....:coffee:
 
Umefanya la maana sana mkubwa ingawa sipendi kukuita 'zege' Anyway nakutakia kila la kheri coz hapo unaongelea maisha na UZIMA wako.
 
karne ya tekinolojia... hata wake watafutwa kwenye mtandao...
 
huko bank huyawapata???? barabarabi?, jirani? kanisani? hadi uje huku??? wacha mchezo bana, mke mwema anatoka kwa Mungu na wala hutakiwi kutoa tangazo.
 
inaelekea hii thread sio zile za kutunga..

All the best my dear....
 
Kiongozi kila la kheri.

Ila angalia wengine midume huku wanajifanya mademu. usije ukaweka appointment na dume jenzio pakawa hapatoshi.

Mkuu asante, Jamaa yako Mangi Nguli ananitania sana, na umri unasogea, mkuu sikuoni tena salender bridge vipi? Njooni na Fidel na Teamo tupige maji mnipe na mikakati ya kuondokana na huu ukapera


Yaani nimejishisi mwenye bahati na furaha wewe ni msichana pekee aliyejibu ombi langu

huko bank huyawapata???? barabarabi?, jirani? kanisani? hadi uje huku??? wacha mchezo bana, mke mwema anatoka kwa Mungu na wala hutakiwi kutoa tangazo.

Alimpa mwanadamu akili ya internet ni Mungu, na Kama nikimpatia mke humu atakuwa ametoka kwa Mungu. Kejeli nyingine ni za kwako:A S thumbs_down:
 


kweli leo tusiokua na elimu ya baada ya kuzaliwa tumekumbukwa lol
 
Piga kwanza elimu ya Uzamivu..unajua siku hizi u-Dr nao ni deal.
 
inaelekea hii thread sio zile za kutunga..

All the best my dear....

Niko serious sana, na kudhibitisha hilo kuna member humu wananijua physically na wanaweza kuelezea stutus yangu ya maisha na ninaloomba hapa, kuna Aspirin, Teamo, Fidel80, Rev Masanilo na mkewe mzenji pamoja na ndugu yangu Nguli Jabali
 

Naona huo u-pimp ni tatizo kwani huenda unatafuta wa kuuza
 
Niko serious sana, na kudhibitisha hilo kuna member humu wananijua physically na wanaweza kuelezea stutus yangu ya maisha na ninaloomba hapa, kuna Aspirin, Teamo, Fidel80, Rev Masanilo na mkewe mzenji pamoja na ndugu yangu Nguli Jabali

thanx for the details i will follow them hahahah lol
and im gona go to do my home work now....
Am a pimp, and I love pimping .
 
Ooh! Jamani na mimi mpweke. Mmmh!Sijui nikutafute... Aaah!
Hapana, bado nipo nipo kwanza.
Kila la heri mpendwa.
 
Hongera kwa ujasiri huo mungu atakujalia utapata tu, kama ulivyosema mke mwema anatoka kwa mungu na mungu ndie aliyekuwezesha kuingia humu kwenye net.
 
mie ningejitosa sema niko mbali,inaelekea huna makuu weye,,,:clap2::sick:
 
katt williams

hii siganture itakukosesha mke akyanani!!

"Am a pimp, and I love pimping . . ."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…