Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo PM wengine tumefuzu kuwaondoa watu upwekeHEllow
Naumwa na upweke sina friend kipindi hiki nawezaje kuondokana na upweke?
Wewe njoo PM si una upweke?Kuna nini uko?
EwaaaMh hapa hapa panafaa bhna
Yani unauliza tena kuna nini ndio maana upo mpweke🤣Kuna nini uko?
Kuna ile wanasema "mwanamke ndoa anaitaka ila hataki kutoa namba kwa wanaume"Mh hapa hapa panafaa bhna
Nipo hapa nambieAhah
🤣🤣🤣🤣🙌Yani unauliza tena kuna nini ndio maana upo mpweke🤣
100% chanzo ni mahusiano...HEllow
Naumwa na upweke sina friend kipindi hiki nawezaje kuondokana na upweke?
EwaaaNdio inawezekana ikawa kweli
Okay ✌️Mwanaume mwenyewe yupoje kwaza?