Urafiki wa Dam: Morani na Mdosi

Rev. Kishoka

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
4,526
Reaction score
1,540
Well, well,well sasa twaanza kuona ni jinsi gani misheni zilivyoanza andaliwa na hawa jamaa wawili.

NdiyoMorani kaachia ngazi, lakini hilo halitoshi kutamatisha uhujumu uliofanyika. Paper trail ifanyike ijulikane pesa zilikwenda kwa nani baada ya CRDB kuwalipa kina GIRE. Kwa kuwa hawajamaa walijidaieti wao ni Wamarekani, basi FBI na IRS ziombwe zisaidie kufanya uchunguzi na ile ofisi ya FINCEN, OFAC ambazo ziko chini ya Dept. Of Treasury ya Marekani zisaidie mpaka tuelewe hizi pesa ziko wapi!

Lakini turudi kwenye ndoa hii ambayo machoni petu ni haramu, when did Morani and Mdosi became BFF(Best friend for life)?

http://www.freemedia.co.tz/daima/2008/2/8/makala2.php


It all started after Lowassa was dumped in 1995!
 
Tatizo nikwamba kuna watu wanajua mengi humu ndani,lakini wavivu kumwaga radhi
 
Lione,ni kweli usemayo,watuwaoga,hapa ndio pa kusemea.
 
ORDER PLSSSS
Kama kuna mtu mwenye taarifa muhimu,azimwage hapa,maana taifa liko icu,tumsaidie muungwana,kufanya maamuzi,maana inaelekea anafuatlia kwa klaribu sana jf,na nimemba pia,mnalijua hilooo?
 
" Kweli ni huzuni, kwa kuanguka kwake morani, kulipotokea pale bungeni, akasema moyoni, nafukuzwa kazi kwa uzushi, akalia kwa huzuni, hata mwisho akachoka, pale juu kizimbani akabwaga nyanga kwa huzuni"!
 
" Kweli ni huzuni, kwa kuanguka kwake morani, kulipotokea pale bungeni, akasema moyoni, nafukuzwa kazi kwa uzushi, akalia kwa huzuni, hata mwisho akachoka, pale juu kizimbani akabwaga nyanga kwa huzuni"!

Rev naona umeamua kututolea "remix", lakini kumbuka sheria za hakimiliki!
 
Hawa wawili wameshaanza kutapatapa. MMoja kapokelewa na maandamano ya Hosana yuaja mtawala, mwingine anadai mimi siwajui hawa watu hata warithi wake pamoja na kuwa waminipa mlo wa ukandarasi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…