hebu wazee wa mujini warumi mnidadavulie huu ukaribu wa msanii Ommy dimpoz na Boss mkuu wa GSM ni biashara ipi anayomtangazia....au kuna single inakuja tujiandae?
mzee wa shilawadu niPM basi....mimi habari za mjini zikinipita naumwaa
[emoji23][emoji23][emoji23]Vijana mnasikitisha....haya mambo ya kusukumwa vinyesi yanashabikiwa sana.Sijui mwisho wake utakuwaje?
vipi shettah na Mo?Hebu wazee wa mujini warumi mnidadavulie huu ukaribu wa msanii Ommy Dimpoz na Boss mkuu wa GSM ni biashara ipi anayomtangazia....au kuna single inakuja tujiandae?
Mzee wa Shilawadu niPM basi... Mimi habari za mjini zikinipita naumwa.