Uraghbishi unahitaji nini ili ufanikiwe?

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124


Uraghbishi ni falsafa yenye lengo la kuingia kwenye jamii kwa urahisi zaidi kwa kuamini kwamba jamii inafahamu zaidi matatizo yanayowakabili, sababu zake na jinsi ya kuweza kutatua matatizo yao

Ili Uraghbishi unaofanywa na Asasi Za Kiraia ili uweze kufanikiwa ni lazima uongozi wa jamii husika ushirikishwe

Changamoto zinazoibuliwa hufikishwa na AZAKI kwa viongozi ambao huchukua hatua kutatua kwa kushirikiana na wananchi walioibua changamoto hizo
 
Upvote 1
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…