uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukienda mikoa ya Rukwa na kigoma kuna wahamiaji haramu kibao ila watz wenzao waishio nje ndio tishio kwa usalamaKuna watu fulani ni wajinga fulani wana uoga fulani wa kijinga tuu!, kama ule ujinga wa kunajisi katiba yetu kwa uoga tuu wa mgombea binafsi.
P
Sababu walizonazo ni za kisiasa. Wana hofu kubwa vijana walioko nje wataleta taharukiTUkatafute pesa nje tuwekeze bongo.
Diaspora wakenya wanachangia sana uchumi wao.
Hata wanigeria.
Sisi tunabaniana sana vijana kwenda nje kusaka maisha.
Tuna nguvu kazi tele isiyo faida kwa taifa ni Bora tuiexport nje ikalete pesa ndani.
Kama wafanyavyo wa Filipino nusu yao wapo nje ya nchi yao wanabeba box.
Umesema ukweli kabisa mwamba!Ccm ndio hawataki wanaogopa challenge ya fikra mpya toka kwa watz diaspora, diaspora hawalogeki na mwenge hivyo akili zao hazijafubaa
Sawa mkuuTUkatafute pesa nje tuwekeze bongo.
Diaspora wakenya wanachangia sana uchumi wao.
Hata wanigeria.
Sisi tunabaniana sana vijana kwenda nje kusaka maisha.
Tuna nguvu kazi tele isiyo faida kwa taifa ni Bora tuiexport nje ikalete pesa ndani.
Kama wafanyavyo wa Filipino nusu yao wapo nje ya nchi yao wanabeba box.
Taharuki ya mawazo chanya au ya namna gani? mbona huko kenya , uganda, Rwanda , burundi , africa kusini na kwingineko hizo taharuki hazipo? au ni sisi pekee tunaogopa kivuri cha uzazi wetuSababu walizonazo ni za kisiasa. Wana hofu kubwa vijana walioko nje wataleta taharuki
Dv lottery dirisha liko wazi mbaka nov 5 mwisho, vijana waombee ni bureee kabisaaTUkatafute pesa nje tuwekeze bongo.
Diaspora wakenya wanachangia sana uchumi wao.
Hata wanigeria.
Sisi tunabaniana sana vijana kwenda nje kusaka maisha.
Tuna nguvu kazi tele isiyo faida kwa taifa ni Bora tuiexport nje ikalete pesa ndani.
Kama wafanyavyo wa Filipino nusu yao wapo nje ya nchi yao wanabeba