Uraibu (addiction) gani umekuwa changamoto kwako?

Uraibu (addiction) gani umekuwa changamoto kwako?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Uraibu(addiction) ni ile hali ya kukipenda kitu fulani kuliko hali ya kawaida ya binadamu na kuwa katika hali ya kutaka kukipata na kukitumia muda wote. Hali ya uraibu huwa hatari zaidi kwa afya, uchumi au mahusiano ya muathrika.

Ukiwa katika hali uraibu wa kitu au jambo fulani usipopata hicho kitu unakuwa kama mtu mgonjwa na wakati mwingine huhitaji huduma za wanasaikolojia kuweza kuishinda hali hiyo.

Baadhi ya aina maarafu za uraibu duniani ni
1. Dawa za kulevya
2.Pombe
3.Sigara
Aina nyingine za uraibu ni wa chakula, dini, siasa, mpira, TV/movies n.k

Ni uraibu upi ambao kwako umekuwa changamoto?
 
Uraibu(addiction) ni ile hali ya kukipenda kitu fulani kuliko hali ya kawaida ya binadamu na kuwa katika hali ya kutaka kukipata na kukitumia muda wote. Hali ya uraibu huwa hatari zaidi kwa afya, uchumi au mahusiano ya muathrika.

Ukiwa katika hali uraibu wa kitu au jambo fulani usipopata hicho kitu unakuwa kama mtu mgonjwa na wakati mwingine huhitaji huduma za wanasaikolojia kuweza kuishinda hali hiyo.

Baadhi ya aina maarafu za uraibu duniani ni
1. Dawa za kulevya
2.Pombe
3.Sigara
Aina nyingine za uraibu ni wa chakula, dini, siasa, mpira, TV/movies n.k

Ni uraibu upi ambao kwako umekuwa changamoto?
Zile information za uongo kuhusu corona na tanzia; zinakera sana. HOFU umekuwa ugonjwa mkubwa hata kuliko Kovidi-19 yaani, dah!??? Jamani wenye uraibu huu badilikeni!???
 
Mbona kamari umeisahau? Moja ya mambo yaliyonirudisha nyuma kiuchumi ni kamari, nashukuru Mungu nimepunguza kwa 95% japo haikuwa rahisi. Ilinikolea hadi nikawa sina mda na mahusiano mpaka nikilala naota nacheza kamari.
 
Mkuu ulikuwa pabaya sana,unasuka mikeka hadi unasahau mahusiano![emoji2]
Wengine wanageuka wezi kabisa sababu ya kamari, hongera kuikimbia.
Mbona kamari umeisahau? Moja ya mambo yaliyonirudisha nyuma kiuchumi ni kamari, nashukuru Mungu nimepunguza kwa 95% japo haikuwa rahisi. Ilinikolea hadi nikawa sina mda na mahusiano mpaka nikilala naota nacheza kamari.
 
Mkuu ulikuwa pabaya sana,unasuka mikeka hadi unasahau mahusiano![emoji2]
Wengine wanageuka wezi kabisa sababu ya kamari, hongera kuikimbia.

Bora mikeka mkuu hiyo mbona ni kawaida kuna zile kamari haswa ndani ya dakika 5-10 ushaliwa laki 2+
 
Kuangalia movie, aisee ndo uraibu ambao umenishinda kuacha maana tangu nikiwa cheke chea natoroka naenda kucheki movie kwenye vibanda umiza mpa nimekuwa mkubwa napenda sana movie
 
Back
Top Bottom