Uraibu hauwezi kuachwa kwa kumeza dawa. Hakuna vidonge wala mizizi ya kuacha ulevi wa pombe, bangi, sigara, kamari, Umalaya, Punyeto, n.k

Uraibu hauwezi kuachwa kwa kumeza dawa. Hakuna vidonge wala mizizi ya kuacha ulevi wa pombe, bangi, sigara, kamari, Umalaya, Punyeto, n.k

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Addiction ni tatizo lingine kabisa, unafanya kitu flani kinakupa raha, ukiendekeza sana kinakukamata akili na nafsi,

Kusema kuutibu mwili kwa kumeza vidonge, mizizi, kuogea dawa, kufukizwa, n.k. utahangaika sana, Tatizo sio mwili bali ni akili, mtu anaamua mwenyewe kwa hiari yake.

Dawa za uraibu ni kuwepo kwenye mazingira ya kushindwa kupata kilevi kwa urahisi, kuachana na kampani za watumiaji kukwepa peer pressure, kutafuta mbadala wa kilevi, kuwa na hofu ya kutumia kilevi, n.k.

Maamuzi binafsi - Ni suala la mraibu kuamua kutoka moyoni "iMETOSHA NAACHA!!", Hii hainaga ngoja nitumie / nifanye leo siku ya mwisho, huwa ni vita kali mno kwasababu ya arosto / kiu kali sana inayoongezeka kadri siku zinavyoenda ndani, Inabidi upambane ufike mwezi kuondoa sumu ya uraibu kwa kiwango kikubwa

Hofu ya kuendelea kutumia kilevi - Unaweza kujijengea hofu ya kutumia kilevi kwa kuona sio sawa unachofanya mfano kufikiria magonjwa unayoweza kuyapata na jinsi yatavyoathiri maisha yako, familia yako, n.k. Pia hofu nyingine zinatengenezwa mfano walevi waliokubuhu hupasuliwa mayai kwenye makalio, wanapoamka wanadhani wameingiliwa, Hofu inaanza kuwepo ya kutorudia kunywa kwa kuhofia kubakwa na aibu waliyopata.

weka mbali vifaa vya matumizi ya uraibu - Mfano kwa wapiga punyeto wanaotumia mafuta ya mgando, Hakikisha mazingira ya chumbani hayana mafuta ya mgando jwasababu kila ukiyatazama unaingia na ushawishi.
 
Addiction ni tatizo lingine kabisa, unafanya kitu flani kinakupa raha, ukiendekeza sana kinakukamata akili na nafsi,

Kusema kuutibu mwili kwa kumeza vidonge, mizizi, kuogea dawa, kufukizwa, n.k. utahangaika sana, Tatizo sio mwili bali ni akili, mtu anaamua mwenyewe kwa hiari yake.

Dawa za uraibu ni kuwepo kwenye mazingira ya kushindwa kupata kilevi kwa urahisi, kuachana na kampani za watumiaji kukwepa peer pressure, kutafuta mbadala wa kilevi, n.k.
kuchukua uamuzi binafsi mgumu ndiyo pekee suluhusho la uraibu.

acha taratibu kwa kupunguza kiwango cha uraibu husika, kwa utaratibu wa uhakika wa kujikwamua kwenye mkwamo huo wa fedheha sana 🐒
 
Niliwahi kwenda Segerea pale wanapopewa dawa mateja, nilidhani labda ni dawa flani spesho wanapewa ili waache madawa ya kulevya.
Cha ajabu kumbe wanapewa dawa za kulevya zile zile ila kwa kiwango cha chini.
 
Tatizo sio mwili bali ni akili, mtu anaamua mwenyewe kwa hiari yake.
Hilii ndio jibu mkuu,kilaa ktu ni kuamua kutoka ktk ubongo ,vinginevyo na hapo hata uwende Kwa waganga wa makanisani na wale wa pori km ujaamua mwenyewee kamwe utaachaa
 
Niliwahi kwenda Segerea pale wanapopewa dawa mateja, nilidhani labda ni dawa flani spesho wanapewa ili waache madawa ya kulevya.
Cha ajabu kumbe wanapewa dawa za kulevya zile zile ila kwa kiwango cha chini.
Hio dawa wanayopewa inaitwa Methadone, Inasaidia lakini bado muathirika inabidi aamue kuacha

Tumeona wasanii wengi wanaenda Sober House lakini wanarudi upya kwenye madawa
 
Back
Top Bottom