Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
HahahahaMabuludoza sio standard ya Membe.
Mabuludoza hajui Kiingereza
Mabuludoza hana utu
Mabuludoza hajui lolote kuhusu diplomasia na uhusiano wa kimataifa.
Mabuludoza hajui kufanya risk assessment.
Mabuludoza ana kisasi
Mabuludoza is wicked.
Uliona wapi binadamu hufanana tabia? Inatokeaga watu mmezaliwa tumbo moja na baba yenu ni mmoja na mmekulia kwenye makazi hayo hayo wote kwa pamoja, lakini bado mkatofautiana tabia, sembuse mtu eliyezaliwa kwingine na kukulia kwingine hicho ni kitu cha kawaida.Wakuu.
Tuache Utani jamaa anaakili hadi anaudhi, yaani mtu anajieleza Kwa umakini na unahisi kweli kiongozi anaongea
Anatumia busara kuelezea kitu, hafokifoki kama mtu tu wamtaani.
Hana hasira na anaonekana ni kiongozi aliyeiva sana kwenye masuala nyeti kabisa ya nchi kuliko viongozi wengi,
Membe usihi Daima nitazidi kukuombea kwa Mungu uwe na umri mrefu.
Hizi nyuzi mnazofungua kumhusu Membe zinatosha maana sioni jipya, turudi kwenye mijadala ya kitaifa.Wakuu.
Tuache Utani jamaa anaakili hadi anaudhi, yaani mtu anajieleza Kwa umakini na unahisi kweli kiongozi anaongea
Anatumia busara kuelezea kitu, hafokifoki kama mtu tu wamtaani.
Hana hasira na anaonekana ni kiongozi aliyeiva sana kwenye masuala nyeti kabisa ya nchi kuliko viongozi wengi,
Membe usihi Daima nitazidi kukuombea kwa Mungu uwe na umri mrefu.
Akikwambia nje kuna giza toka ndani ukahahakikishe kama ni kweli.Usimwamini mwanasiasa
Membe mushabikieni nyie mie wala sioni umuhimu wake katika taifa,mpaka sasa sielewagi gas yetu tunanufaikaje nayo wakati tuliahidiwa umeme itakua historia,akiwemo membe aliewaleta wawekezajiKujieleza hakujengi uchumi....wala hakuongezi ugali na mboga mezani kwa wananchi....Isitoshe wamekwisha tawala muda mrefu hakuna cha maana tulichokiona ....labda jaribu kuleta jina la candidate mwingine...
Mimi sio shabiki wa Membe mkuuMembe mushabikieni nyie mie wala sioni umuhimu wake katika taifa,mpaka sasa sielewagi gas yetu tunanufaikaje nayo wakati tuliahidiwa umeme itakua historia,akiwemo membe aliewaleta wawekezaji
Mnampa sifa asizonazo huyo jamaa yenu. Membe hawezi kuwa kiongozi mkuu wa Nchi hii kwa namna yeyote. Kwanza ni mhuni kama wahuni wenzie na wala hana tofautiWakuu.
Tuache Utani jamaa anaakili hadi anaudhi, yaani mtu anajieleza Kwa umakini na unahisi kweli kiongozi anaongea
Anatumia busara kuelezea kitu, hafokifoki kama mtu tu wamtaani.
Hana hasira na anaonekana ni kiongozi aliyeiva sana kwenye masuala nyeti kabisa ya nchi kuliko viongozi wengi,
Membe usihi Daima nitazidi kukuombea kwa Mungu uwe na umri mrefu.
Membe angekuwa na utu angetufisadi kiasi hicho? Mnadhani tulishasahau hela ya Gadafi? Subirini moto uanze mtamhurumia.Mabuludoza sio standard ya Membe.
Mabuludoza hajui Kiingereza
Mabuludoza hana utu
Mabuludoza hajui lolote kuhusu diplomasia na uhusiano wa kimataifa.
Mabuludoza hajui kufanya risk assessment.
Mabuludoza ana kisasi
Mabuludoza is wicked.
Membe angekuwa na utu angetufisadi kiasi hicho? Mnadhani tulishasahau hela ya Gadafi? Subirini moto uanze mtamhurumia.
Hata Kama ni Usiku?Akikwambia nje kuna giza toka ndani ukahahakikishe kama ni kweli.
Yes na akikwambia sasa hivi ni usiku nenda nje kahakikishe, maana wanasiasa bana hawaaminiki.Hata Kama ni Usiku?
Wakuu.
Tuache Utani jamaa anaakili hadi anaudhi, yaani mtu anajieleza Kwa umakini na unahisi kweli kiongozi anaongea
Anatumia busara kuelezea kitu, hafokifoki kama mtu tu wamtaani.
Hana hasira na anaonekana ni kiongozi aliyeiva sana kwenye masuala nyeti kabisa ya nchi kuliko viongozi wengi,
Membe usihi Daima nitazidi kukuombea kwa Mungu uwe na umri mrefu.
Mabuludoza sio standard ya Membe.
Mabuludoza hajui Kiingereza
Mabuludoza hana utu
Mabuludoza hajui lolote kuhusu diplomasia na uhusiano wa kimataifa.
Mabuludoza hajui kufanya risk assessment.
Mabuludoza ana kisasi
Mabuludoza is wicked.
Mabuldoza yanatupigia mashangazi zetu MtwaraMabuludoza anadharau katiba ilomfikisha habo
Mabuludoza ni Mbaguzi
Mabuludoza anawachukulia wapinzani km mahaini
Mabuludoza ana zuia uhuru wa habari
Mabuludoza anaiburura mihimili mingine
Mabuludoza ni jeshi la Mtu mmoja
Huyu aliwahi kusema akipata Urais kuna watu lazima wakimbie nchi
Usimwamini mwanasiasa
Huyu aliwahi kusema akipata Urais kuna watu lazima wakimbie nchi
Usimwamini mwanasiasa
Hapo ndipo wanashindwa kujua FISIEMU haijapata kubadilika toka iwepo...Bora watu wakimbie nchi kuliko' kulimia meno'
Ila usisahau pambio hii pia kuwa, CCM NI ILE ILE.Wakuu.
Tuache Utani jamaa anaakili hadi anaudhi, yaani mtu anajieleza Kwa umakini na unahisi kweli kiongozi anaongea
Anatumia busara kuelezea kitu, hafokifoki kama mtu tu wamtaani.
Hana hasira na anaonekana ni kiongozi aliyeiva sana kwenye masuala nyeti kabisa ya nchi kuliko viongozi wengi,
Membe usihi Daima nitazidi kukuombea kwa Mungu uwe na umri mrefu.