Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mahakama ya Mafisadi imefia wapi?Jizi la vitalu!
Saccos iko Lumumba inayoeendeshwa kwa amri na maelekezo ya mtu mmoja alielewa madaraka kupitiliza.Si mpaka amue mwenye Sacco's yake, mwenye uamuzi wa Nini kifanyike Ni bwana mbowe
mbona hayuko jela sasa?Jizi la vitalu!
yeah... kwa nini hayuko jela?Hata Faru john DJ
Mwizi wa Ruzuku yupo Baa saizi
Si mpaka amue mwenye Sacco's yake, mwenye uamuzi wa Nini kifanyike Ni bwana mbowe
Lissu labda awe Rais wa chama cha viwete Tanzania(Chawata)Good idea but Our president is Hon Lissu this is inevitable
Yupo kwenye wale afananao!mbona hayuko jela sasa?
Na hapo wee ndo salary slip? Ubavuni mwa gari....Naona huyu Mhe. kweli kadhamiria, na hii picha ya hili gari ndio ushahidi wenyewe.Tukumbuke hapa yeye bado ni mti nia tu na sio mgombea rasimi.
Nampa hongera kwa ubunifu na kuonyesha mfano kwa wengine, ila awe makini asijeenguliwa kwa madai ya kuanza kampeni kabla ya wakati ingawa wa upande wa pili wao teyari wameshaanza.
View attachment 1503975