Urais CCM balaa

bambumbile

Senior Member
Joined
Aug 30, 2009
Posts
109
Reaction score
0
Hizi siasa chafu tutazishuhudia sana mwakani na 2015 ndio itakuwa balaa kabisa. Mtandao walianzisha, sasa wamejiunga na wengine kwenye mambo ya kuchafuana.
 
kweli nchimbi akiwa rais nahama nchi- kilaza huyu?????? anyebwebwa na JK.
 
kweli nchimbi akiwa rais nahama nchi- kilaza huyu?????? anyebwebwa na JK.
dataz zinasema waliingia mkataba kwamba fadhila zake zilipwe kwa ''kubebwa'' na kuhakikisha anakuwa waziri!
waliuziana nini,au walipigana tafu wapi hiyo naomba ''iwe siri''
 
JK lazima atafute mtu wa kumlinda ili asije akamletea shida baadae, so Nchimbi anaweza kuwa chaguo lake, ila wananchi nao tuwe na chaguo letu kwa kuwa mtu kama Nchimbi hatufai
 
dataz zinasema waliingia mkataba kwamba fadhila zake zilipwe kwa ''kubebwa'' na kuhakikisha anakuwa waziri!
waliuziana nini,au walipigana tafu wapi hiyo naomba ''iwe siri''

nasikia kijana yupo fiti sana kwenye kamati ya ufundi, inawezekana huko ndiko alipoweka mkataba na JK
 
nasikia kijana yupo fiti sana kwenye kamati ya ufundi, inawezekana huko ndiko alipoweka mkataba na JK

naam!
lakini HERI MIMI SIJASEMA BWANA!maanake mambo madogo haya utashangaa yudabliyutii wanaanza kukuwambala
 
nasikia kijana yupo fiti sana kwenye kamati ya ufundi, inawezekana huko ndiko alipoweka mkataba na JK

hebu mwacheni ndugu yangu bwana nani hana kamati ya ufundi??
 
nasikia kijana yupo fiti sana kwenye kamati ya ufundi, inawezekana huko ndiko alipoweka mkataba na JK

yani mtu apewe nchi kwa sababu anaogopwa kwa ushirikina,how low can we go?????????
 
Jk amekana kuwa ilani ya uchaguzi ya ccm hakuandika yeye! Kwa maana nyingine yeye hahusiki! Ila imemuweka madarakani!!!
Just the matter of time ... Wote mlio ichafua hii ardhi tukufu mtakiona chamtemakuni ... Wananchi hawashangilii vogue zenu wala nyumba zenu wala nguo zenu wala hongo zenu za kanga, vitenge na visheti... Si mbali wewe jk na wenzio mtajibu kwanini mliteketeza ardhi hii tukufu na kuacha wana wa tz wakihaha na kuangamia ktk lindi kubwa la ufukara na umaskini usiomithilika... Mtaiba , mtakaba, mtadhulumu uchaguzi lakini kamwe historia haitafutika ...
 
Habari iumejaa udaku mtupu, sijui vyanzo vya kuaminika, sijui mtu ambae hakutaka jina lake litajwe, sijui uchunguzi wa gazeti letu nk haya ni mambo ya kutunga na kufikirika zaidi kuliko ukweli, lakini kwa kuwa hayo ndio tunayopenda kusikia tuendelee kujadili upupu huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…