kalooo son of Kambarage
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 275
- 181
Hatujapata serikali inayotaka maendeleo bali tumetaka serikali kwa kutatua kero ndogondogo.
Elimu ya Cheti tu bado haijasaidia kutatua changamoto zetu.
Utawala usioendana na sauti za wananchi kuhusu msitakabali Wa kitaifa hasa utoaji wa haki ni sawa na kuongozwa na watu wasiokuwa na maono wala ndoto.
Haya ni machache ya mtia nia wa urais kupitia Chadema, kwangu binafsi sijaona mtu wa kumlinganisha naye.
Naomba kusema twende na Peter Msigwa 2020
Elimu ya Cheti tu bado haijasaidia kutatua changamoto zetu.
Utawala usioendana na sauti za wananchi kuhusu msitakabali Wa kitaifa hasa utoaji wa haki ni sawa na kuongozwa na watu wasiokuwa na maono wala ndoto.
Haya ni machache ya mtia nia wa urais kupitia Chadema, kwangu binafsi sijaona mtu wa kumlinganisha naye.
Naomba kusema twende na Peter Msigwa 2020