kalooo son of Kambarage
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 275
- 181
Waliopo /waliopita Hawana tofauti na kingwendu wote vituko dah /Kazi tuKwa Tanzania Kila mmoja anafaa hata Kingwendu anafaa, maana tunaona vituko kwa waliopo/waliopita hawana tofuti na Kingwendu!
As long as they violate human rights, chochote wanachokifanya ni najisi!, batili, vituko and the like!Waliopo /waliopita Hawana tofauti na kingwendu wote vituko dah /Kazi tu
Mkuu kuna kuna kutatua kero ndogondogo na maendeleo ,maendeleo yanaletavmabadiliko makubwa kwa maisha ya kawaida kwa watu lakini kutatua kero ndo kuwa namaisha yaleyaleKama kweli hujaona maendeleo mpaka leo basi tutashindwa kukuchagua hatujui unataka nini.
Yap what to do let us show them that we still don't need themAs long as they violate human rights, chochote wanachokifanya ni najisi!, batili, vituko and the like!
Mku mimi labda sijui maendeleo ni yapi unayasema tupe mifano ndo tukuelewe vizuri.Mkuu kuna kuna kutatua kero ndogondogo na maendeleo ,maendeleo yanaletavmabadiliko makubwa kwa maisha ya kawaida kwa watu lakini kutatua kero ndo kuwa namaisha yaleyale
Sijaziona sera za Mh.Nyarandu tujuze basi ni zipi?Kama wewe ni kijana. Utaona kwamba sera za Nyalandu ndo zinafaa
Wale wengine vipi siyo vituko?Waliopo /waliopita Hawana tofauti na kingwendu wote vituko dah /Kazi tu
Only Peter is the bestKama wewe ni kijana. Utaona kwamba sera za Nyalandu ndo zinafaa
Mh hayHata Gigy money anafaa.
Peter msigwaKama wewe ni kijana. Utaona kwamba sera za Nyalandu ndo zinafaa
Maendeleo ni mikakati timilifu amba yo imetengenezwa na ikakamilika kumletea mwananchi Wa kawaida unafuu Wa maisha siyo kama tunakusanya kodi kubwa lakini watu wetu wanalia kukicha.Mku mimi labda sijui maendeleo ni yapi unayasema tupe mifano ndo tukuelewe vizuri.
Sijaziona sera za Mh.Nyarandu tujuze basi ni zipi?
????HESLB
Nafikiri anamanisha mtu wa vichekesho sio wa ovyo!Kwahiyo Kingwendu ndo mtu wa hovyo sana!
Hizi dharau hizi, sijui mnamchukuliaje..!!