Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Ni wazi huyu bwana ameishashinda Urais wa Marekani na anasubiri tu kupitishwa na kuapishwa hapo mwezi January. Kulingana na sera zake urais wake utakuwaje kwa Marekani na Dunia? Baadhi ya sera zake kubwa ni.
1. Kuongeza kodi kwa bidhaa kutoka China kwa asilimia 60
2. Kuongeza kodi kutoka mataifa mengine kwa asilimia kati ya 10-20
3. Kudeport mamilioni ya wahamiaji haramu.
4. Atasimamisha sheria zinazohusiana na utunzaji na mazingira
5. Atafanya mabadiliko makubwa kwenye uchumi na kumuweka RFK Jr kuwa Kiranja wa masuala ya afya.
6. Kuongeza nafasi za kuteuliwa kwenye utumishi wa umma
7. Kufanya mabadiliko makubwa kwenye sera za elimu.
8. Kuwa bahili kwa Ukraine na Members wa NATO.
1. Kuongeza kodi kwa bidhaa kutoka China kwa asilimia 60
2. Kuongeza kodi kutoka mataifa mengine kwa asilimia kati ya 10-20
3. Kudeport mamilioni ya wahamiaji haramu.
4. Atasimamisha sheria zinazohusiana na utunzaji na mazingira
5. Atafanya mabadiliko makubwa kwenye uchumi na kumuweka RFK Jr kuwa Kiranja wa masuala ya afya.
6. Kuongeza nafasi za kuteuliwa kwenye utumishi wa umma
7. Kufanya mabadiliko makubwa kwenye sera za elimu.
8. Kuwa bahili kwa Ukraine na Members wa NATO.