johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar balozi Idd Seif amesema urais wa Zanzibar hauuuzwi bali upo kwa ajili ya wananchi wa Unguja na Pemba.
Balozi Idd ametoa onyo kwa wote waliojipanga kutumia rushwa ili kununua uongozi na kwamba wazanzibar watampendekeza Rais wanayemtaka kabla ya kupitishwa na vikao vya juu vya chama.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Balozi Idd ametoa onyo kwa wote waliojipanga kutumia rushwa ili kununua uongozi na kwamba wazanzibar watampendekeza Rais wanayemtaka kabla ya kupitishwa na vikao vya juu vya chama.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!