johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Jiwe limerushwa gizani hilo .. yoyote atakutana naloMakamu wa pili wa Rais wa Zanzibar balozi Idd Seif amesema urais wa Zanzibar hauuuzwi bali upo kwa ajili ya wananchi wa Unguja na Pemba.
Balozi Idd ametoa onyo kwa wote waliojipanga kutumia rushwa ili kununua uongozi na kwamba wazanzibar watampendekeza Rais wanayemtaka kabla ya kupitishwa na vikao vya juu vya chama.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Aache kuwadanganya wenzake.Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar balozi Idd Seif amesema urais wa Zanzibar hauuuzwi bali upo kwa ajili ya wananchi wa Unguja na Pemba.
Balozi Idd ametoa onyo kwa wote waliojipanga kutumia rushwa ili kununua uongozi na kwamba wazanzibar watampendekeza Rais wanayemtaka kabla ya kupitishwa na vikao vya juu vya chama.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Bwashee wewe unajua kuliko balozi Seif?!Toka lini waunguja na wapemba wakateuwa mgombea urais wa Zanzibar?
Wasubiri kuletewa toka chimwaga.
Bwashee wewe unajua kuliko balozi Seif?!