Mr Kicheko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 789
- 216
DK SHEIN kamzidi Seif kwa 1% tu na kuukwaa urais znz je mwaonaje waungwana vigezo vinakidhi au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DK SHEIN kamzidi Seif kwa 1% tu na kuukwaa urais znz je mwaonaje waungwana vigezo vinakidhi au?
mimi najiuliza iweje atangazwe mshindi wakati kuna majimbo uchaguzi umeahirishwa, je ikitokea hayo majimbo yakabadirisha mwelekeo wa matokeo je itakuwaje?, kwa nini wamewanyima haki ya kikatiba wananchi hawa ya kumchagua raisi wamtakaye?. napendekeza Shein awekewe kipingamizi mahakamani asiapishwe mpaka kura katika majimbo hayo zipigwe. hima hima wanaharakati.