Iapo serikali itawawezesha wananchi kurasimisha shughuli mbalimbali za kibiashara na kiuchumi na kuwa wezesha wajasiriamali kupata huduma za kitaalamu,mitaji pamoja na fursa za masoko ya nje na ndani ya nchi,Tanzania inaweza kuzalishia ajira mpya zaidi ya milioni 3 ndani ya miaka miwili
Hili ni swali la kitafiti linalohitaji kufanyiwa utafiti wa kina na mjadala mpana
Karibui wajuvi