Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Maendeleo ni zaidi ya kutegemea katika kufanya mambo yako peke yako. Dunia ya leo inaelekeza kwenye social capital kuliko ilivyokuwa miaka kadhaa iliyopita.
Taifa haliwezi kuendelea likiwa huku likisukuma wawekezaji badala ya kuweka mazingira mazuri ya kufanya kazi kwa pamoja "mutual cooperation" na mataifa mengine.
Kila taifa leo linajenga mazingira mazuri ya uhusiano na mataifa mengine kwa kuhakikisha urasimu unapungua au unaondolewa kabisa.
Katika hali isiyofurahisha makampuni makubwa matano ya Volkswagen yanatarajia kuhamisha uwekezaji wake Tanzania na kuhamisha Rwanda kutokana na urasimu uliozidi Tanzania.
Kuna haja ya kuitathmini kauli mbiu yetu ya "Tanzania ya viwanda" na muono wa Taifa juu ya hatua tunazopiga.
Taifa haliwezi kuendelea likiwa huku likisukuma wawekezaji badala ya kuweka mazingira mazuri ya kufanya kazi kwa pamoja "mutual cooperation" na mataifa mengine.
Kila taifa leo linajenga mazingira mazuri ya uhusiano na mataifa mengine kwa kuhakikisha urasimu unapungua au unaondolewa kabisa.
Katika hali isiyofurahisha makampuni makubwa matano ya Volkswagen yanatarajia kuhamisha uwekezaji wake Tanzania na kuhamisha Rwanda kutokana na urasimu uliozidi Tanzania.
Kuna haja ya kuitathmini kauli mbiu yetu ya "Tanzania ya viwanda" na muono wa Taifa juu ya hatua tunazopiga.