Urefu wa kimo kwa mtoto aliye tumboni

tandoor

Senior Member
Joined
Jun 10, 2016
Posts
170
Reaction score
128
Salaam wakuu
Juzi nlienda clinic lkn ni tofaut na niendayo siku zote,nest kamikaze kunipima tumbo akaniuliza ulishawH piga ultrasound nikamjibu eeh akaniuliza tena je uliambiwa una pacha? Nkamwambia hapana na pia nkamtolea zile karat aside zangu nlizowah kupiga ultrasound,nikaamuuliza vp kwani umegunduwa nini akanambia mtoto anaonekana ni mrefu kwa kimo,mimba yangu ina umri wa miezi saba
Maswali yangu ni haya
Je urefu wa kimo huwa unakuwaje kwa mtoto aliye tumboni?
Je kuna uwez3kano kuwa mtoto ni mkubwa?
Wassalam
 
huenda ulichoambiwa ni kweli baada ya kuwa nesi amehisi umri wa mimba hauendani na urefu au ukubwa wa mtoto...... hii si ajabu kutokea, hutokea sana tu jambo la muhimu ni wewe kuendelea na clinic na siku za kujufungua zikifika bila kuchelewa wahi kituo cha afya.
 
Mtoto kuwa mrefu wakati bado yupo tumboni ni kawaida mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…