Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa ni Urefu na uzito, hutumika kufahamu BMI ya mhusika.imeandikwa Urefu wa mama Yangu.
Sijui wakunga wa jadi waliyajuaje haya kaba ya ujio wa wazungu maana walifanya ukunga kikamilifu kabisaHuwa ni Urefu na uzito, hutumika kufahamu BMI ya mhusika.
- Ni hitaji muhimu katika kufuatilia afya ya mama na mtoto,
Haaaa Kaka umetisha pamoja na kua na kadi ya klinik, mi nimezaliwa Nyumbani.Sijui wakunga wa jadi waliyajuaje haya kaba ya ujio wa wazungu maana walifanya ukunga kikamilifu kabisa
Wanatafuta body mass index (BMI) ((weight/height square)) kwa ajili ya kuangalia uzito wa mama mjamzito kama ni overweight ,underweight ,obesity nk.Leo nimesoma kadi ya kliniki. Ambayo mama yangu, alitumia kipindi Mimi sijazaliwa kuna sehemu imeandikwa Urefu wa mama yangu.
Naomba kufahamishwa Urefu wa mama mjamzito unafaida au athari gani kwa mama mjamzito na Mtoto aliyeko tumboni
Haaaa Kaka umetisha pamoja na kua na kadi ya klinik, mi nimezaliwa Nyumbani.
Baada ya kuzaliwa mama Yangu alinikata kitovu, Alikua peke yake. Anakisafisha na kuniweka pembeni arafu anafanya utaratibu wa kunipeleka hospital Mwananyamala.
Duh, ulikuwa kwenye risk kubwa ya kupata pepopunda(tetenus).Haaaa Kaka umetisha pamoja na kua na kadi ya klinik, mi nimezaliwa Nyumbani.
Baada ya kuzaliwa mama Yangu alinikata kitovu, Alikua peke yake. Anakisafisha na kuniweka pembeni arafu anafanya utaratibu wa kunipeleka hospital Mwananyamala.
Kupata BMI ya mama mjamzitoLeo nimesoma kadi ya kliniki. Ambayo mama yangu, alitumia kipindi Mimi sijazaliwa kuna sehemu imeandikwa Urefu wa mama yangu.
Naomba kufahamishwa Urefu wa mama mjamzito unafaida au athari gani kwa mama mjamzito na Mtoto aliyeko tumboni
Mercy anaendeleaje?Kupata BMI ya mama mjamzito
Soon ntaleta mrejesho kuna mambo yanaendelea nashindwa kudecide nahitaj ushauriMercy anaendeleaje?
Leo nimesoma kadi ya kliniki. Ambayo mama yangu, alitumia kipindi Mimi sijazaliwa kuna sehemu imeandikwa Urefu wa mama yangu.
Naomba kufahamishwa Urefu wa mama mjamzito unafaida au athari gani kwa mama mjamzito na Mtoto aliyeko tumboni
Huwa ni Urefu na uzito, hutumika kufahamu BMI ya mhusika.
- Ni hitaji muhimu katika kufuatilia afya ya mama na mtoto,
Wanatafuta body mass index (BMI) ((weight/height square)) kwa ajili ya kuangalia uzito wa mama mjamzito kama ni overweight ,underweight ,obesity nk.
Hii imekaa kitaalamu zaid, tunashukuru kutupa elimuWengi wamejibu Vizuri na wamepatia Kabisa But Honestly Kwanini Unafikiri Kimewekwa Kiwango kabisa?
Kwanini Wamesema Indication iwe 150 Cm ?
Yaani alert iwe kwenye Bellow 150cm?
Does Bellow 150Cm affects BMI Status?
Jibu ni Hapana kuna Kitu kingine cha Ziada zaidi ya BMI..
Nacho ni Pelvic Sizes..
Urefu wa Mwanamke chini ya 150cm Unachangia kwa Asilimia kubwa sana mwanamke kuwa na Small pelvic size because shorter stature is often correlated with smaller skeletal dimensions..
Sijui kama hapo Nimeeleweka..?
Pelvic Size ikiwa Ndogo Kunatokea Kitu Kinaitwa CPD (Cephalo Pelvic Disproportional)..
Yaani Kwa lugha inayoeleweka ni kuwa Mtoto anakuwa Mkubwa kuliko Njia ya Uzazi ama Nyonga.. hiyo CPD ni tofauti kabisa na Big Baby (Macrosomia)..
Sasa kwanini Inawekwa kwenye Kadi??
Inawekwa kwenye Kadi kumpa Alert Mtoa huduma atakaye muhudumia Mjamzito kuwa Awe alert Na mgonjwa huyo (Kama ana below 150) kumuandaa kwa ajili ha Operation na Possible CPD Dx..
So ili kuweza kutoa Maamuzi mapema kuepusha maternal Death..
Asante Nafikiri Nimeeleweka
Ahsante kwa ufafanuzi wa kina.Jibu ni Hapana kuna Kitu kingine cha Ziada zaidi ya BMI..
Nacho ni Pelvic Sizes..
Urefu wa Mwanamke chini ya 150cm Unachangia kwa Asilimia kubwa sana mwanamke kuwa na Small pelvic size because shorter stature is often correlated with smaller skeletal dimensions..
Hapo watu wa afya wanataka kujua kama kweli mtoto atakayezaliwa ataweza kula urefu wa kamba yake kwenye dunia hii yenye changamoto nyingi au la.Leo nimesoma kadi ya kliniki. Ambayo mama yangu, alitumia kipindi Mimi sijazaliwa kuna sehemu imeandikwa Urefu wa mama yangu.
Naomba kufahamishwa Urefu wa mama mjamzito unafaida au athari gani kwa mama mjamzito na Mtoto aliyeko tumboni
Mkuu Futa sistaa 😅😅DR Mambo Jambo shukrani brother/sister kwa madini ya bure kabisaaa
Noted boss 😂😂😅Mkuu Futa sistaa 😅😅
Mimi ni Baba na babu 😅😅
Ni kwa ajili ya kukadilia Njia ya mama wakati wa kujifunguaLeo nimesoma kadi ya kliniki. Ambayo mama yangu, alitumia kipindi Mimi sijazaliwa kuna sehemu imeandikwa Urefu wa mama yangu.
Naomba kufahamishwa Urefu wa mama mjamzito unafaida au athari gani kwa mama mjamzito na Mtoto aliyeko tumboni