Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
-
- #541
Hii ni kweli! Nimekuwa nikijiuluza hii kitu kwa wanyakyusa, sauti kama wanatukana halafu nzito balaa, kiongozi wao Bahati Bukuku
😀😀😀hahhaha huyu yeye amechika kwa bwana kisa sauti! hajui kubembeleaza au kuongea kawaida! yaan ukwel nachekaga sana sabab za yy kuachana!ukikaa nae hata hotel akiwa anaagiza msos utahis km anachamba kumbe ndo ongea yake hahahaahahah
Jamani maweaving yanawasha, nilisuka nilitoka vipele kwenye paji la uso na shingoni halafu nashinda najipiga makonzi. . Sa hv naenjoy low cut yangu
Mi kuvaa leggings zimenishinda, kuvaa high waist imenishinda, michuchumio imenishinda, mahereni makubwa yamenishinda, bangili h nunivalishi kabisaaa
Napenda....
Mafuta ya olive?Eeh huyu anafaa huyu.Jock!
Mi natumia mafuta ya olive yana manukato mazuri.mi nna ndevu nyingi so huwa sometimes zilikuwa zinaniwasha kipindi naziosha na shampoo ila Dr mmoja rafiki yangu akaniambia aisee kuna mafuta fulani nimeyaona juzi nikajaribu naona ni mazuri hayana shida.so mi nikanunua naona sasa ndevu hazikatiki wala kuashwa tena kwa ngozi.
So try it.
Mafuta ya olive?
Kuna vingine sijawahi kujaribu, vingine nimejaribu vikanizidi uwezo....
1: kupaka wanja kwenye nyusi
Huu urembo ulinishinda tangu enzi za mwalimu, kila nikijaribu naona nakua Kama nyau hasa hasa wanja mweusi, basi nikijaribu kupaka nafuta naendelea na mambo mengine, mara chache nimejaribu wanja wa brown napaka kwa mbaaali naona unakuja kuja mdogo mdogo ntaweza.
2: kuvaa wig/kushonea weaving
Hapa nimeinua mikono, wig nilivaa mwaka flani wakati naanza kusokota dread siwezi kwenda kazini vile, nikanunua wig kwanza dukani tu naambiwa linauzwa elf 25 nikashtuka nlijua buku ten, nikanunua nikavaa mmh najiona nakua kama kanjibai, linawasha, lina joto nlipata shida, nywele zilivorefuka sijarudia tena huu urembo siuwezi kabisa.
3: kubandika kucha
Nilijaribu siku moja kutoa ushamba, naona shost angu kila siku anabandika anapendeza, akanipeleka namie nikabandika mmh siku hiyo hata kutandika kitanda nilishindwa, kuchomeka shuka kwenye godoro ikawa tabu, siku chache nikazoea, siku ya kuzibandua sasa yani zinang'olewa utadhani nimetekwa nlikua na kazi ya kupiga kelele kama kimbwa, sirudii tena sitarudia kabisa.
4: kubandika kope
Hii kujaribu tu siwezi make, nikiwaona kina mwajuma ndalandefu wanavokua huwa nacheka, kope zinasimama utadhani mtu kavaa kofia, yana wenyewe haya
5: kupaka cream/kujichubua
Hii kazi ya kujipa mateso hii, uso mweupe miguu myeusi, kuna siku nliwekewa maji ya cream bila kujua ushamba huu, nimeulizwa tu niweke maji nkajibu eeh weka nlijua labda glycerin, duh siku mbili tu nkaanza kuwa kama tumbili....
Wewe huwezi nini?
Nb: naombeni mniambie mafuta ya nywele natural, naona nywele zinakatika
Na hili joto kabla ya kutoka kwenye dressing table poda imeyeyukaMimi kupaka make up. Naweza kununua vifaa lakini kuvipaka mtihani. Nikioga napaka lotion, powder na lip balm naridhika. Nikizidisha labda nipake mascara baasi. Zile layer za make up kwangu hazibebeki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leggings znakushiindaje dia..ni super comfortable.. sipendi jeans sikuhz naona nzitoo..leggings ndo kla kitu, sema ndo uvae top ndefu hv below wezereJamani maweaving yanawasha, nilisuka nilitoka vipele kwenye paji la uso na shingoni halafu nashinda najipiga makonzi. . Sa hv naenjoy low cut yangu
Mi kuvaa leggings zimenishinda, kuvaa high waist imenishinda, michuchumio imenishinda, mahereni makubwa yamenishinda, bangili hunivalishi kabisaaa
Leggings znakushiindaje dia..ni super comfortable.. sipendi jeans sikuhz naona nzitoo..leggings ndo kla kitu, sema ndo uvae top ndefu hv below wezere
Cotton nzito ndo nzuri..teh teh!mie kila nikivaa naona kila mtu ananiangalia!nimeziacha rasm mwaka jana!navaaga jion tu kwenye zoez!labda zile nzito!ila napo ntentemete arghh!
John nawe unavaa wig?
hahah kwann mkuu unaogopa gharama......?Mimi mwanamke anayevaa wigi hata awe mzuri vipi sitongozi
Imekuaje Mrs air kawa kidume??????Fyatu fyangu
Imekuaje Mrs air kawa kidume??????
Nlikua nimeshtuka mpnzah kuna mambo yanakera! huyo dogo alikua ananikra sana pm! na mapicha picha yak na mi sioni option ya block! bas nikaamua kubadili jina kwa privacy zaidi nilipotoa nikaweka' male ' nilikua na maana 2! za maana tu!kuna mtu alinitambua na mm nikawa nakaza sio mm,2 huyu dogo ndo nilimwambia mie ni 'me' si ndio kukimbia kuanzisha thead mle!kananikera sana !niliochat nap pm wala hawana shida na jinsia yangu! they knw m!kwakweli sipend mtu anakuibukia pm na mapicha ya porno1anadhan wot tunapnda mapicha ya hvyo!mxiew zake!
mie 'she' na labor nimehudhuria!