Urembo wa kutoboa viungo vya mwili (body piercings)

Urembo wa kutoboa viungo vya mwili (body piercings)

Zurie

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
2,012
Reaction score
5,571
Kutoboa sehemu mbalimbali za mwili ni moja ya harakati za kuongeza mvuto kwenye mwili wa binadamu.

Sehemu mbalimbali hutobolewa na kupambwa kwa vito au mapambo ya shanga ili kuongeza mvuto.

Sehemu mbalimbali zinazotobolewaga huwa ni:

Masikio
799990b21651d3f0dab57151f461dca6.jpg


Midomo
de46e293e9313575028c31920d910ac0.jpg


Ulimi
ebc5582a8e87146a98fcca21433b2d2c.jpg

e039805a4f03e000f772d4cc01bfcac9.jpg


Pua
cf85c323f78956d221a7b8a62128af86.jpg


Kitovu
a8728d99eea96311c9f768904d4061b1.jpg


Na sehemu nyingine mbalimbali....

Je umewahi kutoboa sehemu ipi ya mwili au unatamani kutoboa sehemu ipi ya mwili wako ili kuongeza mvuto??
 
Mmmm zaidi ya masikio sitoboi pengine
 
Mungu angetaka angewatoboa ila akaona si vizuri
 
Tupia picha ya papuchi iliyotobolewa
 
Back
Top Bottom