Zurie JF-Expert Member Joined Jul 6, 2014 Posts 2,012 Reaction score 5,571 Apr 1, 2016 #1 Kutoboa sehemu mbalimbali za mwili ni moja ya harakati za kuongeza mvuto kwenye mwili wa binadamu. Sehemu mbalimbali hutobolewa na kupambwa kwa vito au mapambo ya shanga ili kuongeza mvuto. Sehemu mbalimbali zinazotobolewaga huwa ni: Masikio Midomo Ulimi Pua Kitovu Na sehemu nyingine mbalimbali.... Je umewahi kutoboa sehemu ipi ya mwili au unatamani kutoboa sehemu ipi ya mwili wako ili kuongeza mvuto??
Kutoboa sehemu mbalimbali za mwili ni moja ya harakati za kuongeza mvuto kwenye mwili wa binadamu. Sehemu mbalimbali hutobolewa na kupambwa kwa vito au mapambo ya shanga ili kuongeza mvuto. Sehemu mbalimbali zinazotobolewaga huwa ni: Masikio Midomo Ulimi Pua Kitovu Na sehemu nyingine mbalimbali.... Je umewahi kutoboa sehemu ipi ya mwili au unatamani kutoboa sehemu ipi ya mwili wako ili kuongeza mvuto??
Rahabu JF-Expert Member Joined Jan 21, 2014 Posts 5,526 Reaction score 3,341 Apr 2, 2016 #2 Mmmm zaidi ya masikio sitoboi pengine
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 70,791 Reaction score 98,334 Apr 2, 2016 #3 Mungu angetaka angewatoboa ila akaona si vizuri
Zurie JF-Expert Member Joined Jul 6, 2014 Posts 2,012 Reaction score 5,571 Apr 4, 2016 Thread starter #4 Root said: Mungu angetaka angewatoboa ila akaona si vizuri Click to expand... Mungu hakukuleta na nguo duniani, mbona unavaa?
Root said: Mungu angetaka angewatoboa ila akaona si vizuri Click to expand... Mungu hakukuleta na nguo duniani, mbona unavaa?
PNC JF-Expert Member Joined Feb 3, 2015 Posts 8,106 Reaction score 14,353 Apr 4, 2016 #5 Tupia picha ya papuchi iliyotobolewa