Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
ha ha ha haaa
the worst thing about hizi ndoa za online...ni kuwa
mkeo anatongozwa live huku unaona na huwezi zuia....
ha ha haa a bit painfull but interesting for viewers.......
ha ha haaa
boss hapo kwenye red umewaonea wenye nywele ndefu!
kwa upande wangu sijawahi kutia weave au to chemicaly treat my hair ........but kumaintain style and kuwa neat all the time na natural hair ni kazi coz kusuka kila siku si jambo dogo......and sometimes i end up looking shabby.
u have to give it to the wigs.............zinakaa kama zilivyoamriwa saa zote[/COLOR]
hahaha .....mie pia sijawahi kutumia wigs. lakini nilikuwa na rafiki yangu alitumia some chemicals akanyonyoka nywele zote. akawa akawa kipara
ikabidi wigi ndio zitumike 24/7.
ila pata picha nywele zimenyonyoka kisha wigi limekuanguka na NN yuko pembeni yako! hahaha
NN.....sasa gademu ya nini!? au hupendi population ya wanawake kuzidi hapa JF?
G pata picha, huyo dada alijuta kuw akaribu na huyu NN (shem na ulivo mpana alikukoma)
Jamani...mimi sikufanya chochote....nilikuwa naangalia ndondi tu....na kwa bahati mbaya wigi likanyofolewa...
umeona reception lakini?...Mi nimependa na ngozi yake..She looks hot!
sure ngozi yake ni nzuri sana no mkorogo no anything hapo nampa five pia