Ureno kuzindua Sarafu ya Euro 7 Kumuenzi Cristiano Ronaldo

Ureno kuzindua Sarafu ya Euro 7 Kumuenzi Cristiano Ronaldo

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Serikali ya Ureno imepanga kuzinduzi sarafu mpya, CR7 Euro kumuenzi mfungaji bora wa timu yao ya taifa, Cristiano Ronaldo. Sarafu hii itakuwa ni ishara ya kuthamini mchango mkubwa wa Ronaldo kwa taifa la Ureno.
1726482138540.png
Cristiano Ronaldo ndiye mfungaji wa muda wote wa timu ya taifa ya Ureno, akiwa amefunga mabao 130. Uwepo wake umezalisha mafanikio makubwa kwa taifa, ikiwa ni pamoja na kuiongoza Ureno kwenye ushindi wa kihistoria wa Euro mwaka 2016 na kutwaa taji la UEFA Nations League katika msimu wa 2018/19.
1726482179362.png
Sarafu ya CR7 Euro inatarajiwa kuwa heshima kubwa kwa mchezaji huyu maarufu ambaye amekuwa na mchango mkubwa katika soka la kimataifa.
 
Back
Top Bottom