Urgent help is needed (Ubuntu vs XP)

Urgent help is needed (Ubuntu vs XP)

Pape

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2008
Posts
5,487
Reaction score
83
wana Jf,
Computer yangu inatumia OS mbili (Ubuntu na XP), sasa nataka kuiondoa ubuntu nibakiwe na XP. Je ni namna gani ya kuiondoa Ubuntu bila kuharibu (delete) programme zingine katika computer?
Asanteni...
 
Ubuntu ni type ya operating system kama window xp lakini yenyewe ni Linux (Open source)
 
Hivi;

Boot machine kwa kutumia XP Disk nenda kwenye recovery console, enter the commands fixboot then fixmbr and reboot (usisahau kotoa CD kabla ya ku reboot). XP should boot

Once XP has booted go to start -> run and enter diskmgmt.msc. Look for the Linux partitions and delete. Halafu ....format kwa either NTFS or FAT32.
 
Hivi;

Boot machine kwa kutumia XP Disk nenda kwenye recovery console, enter the commands fixboot then fixmbr and reboot (usisahau kotoa CD kabla ya ku reboot). XP should boot

Once XP has booted go to start -> run and enter diskmgmt.msc. Look for the Linux partitions and delete. Halafu ....format kwa either NTFS or FAT32.
thx alot
 
Back
Top Bottom