muda umeniishia kabisa na ninatakiwa kupeleka proposal kwa wakuu sasa nisaidieni. mfano wa problem ni kama vile Student perception toward mathematics at university level.ikiwa ni msaada nitafurahi na kushukuru sana aatakaye saidia, akitaka chochote pia twaweza ongea lakini nimefulia mbaya mazee, plz.
Unajua mimi ni supervisor wako. Sasa ukileta proposal ambayo umesaidiwa siipitishi. Tumia akili yakomuda umeniishia kabisa na ninatakiwa kupeleka proposal kwa wakuu sasa nisaidieni. mfano wa problem ni kama vile Student perception toward mathematics at university level.ikiwa ni msaada nitafurahi na kushukuru sana aatakaye saidia, akitaka chochote pia twaweza ongea lakini nimefulia mbaya mazee, plz.
Unajua mimi ni supervisor wako. Sasa ukileta proposal ambayo umesaidiwa siipitishi. Tumia akili yako
anagalia hii inahusu university student perception in mathematics and elementary statistics utachukua points kadhaa mtandao umejaa information ndugu yangu hii imenichukua sekunde kusearch na its just first page.... search sources tofauti uchanganye na unganisha na badilisha vitu kulingana na report yako
http://ozelacademy.com/EJES_v1n1_3.pdf
muda umeniishia kabisa na ninatakiwa kupeleka proposal kwa wakuu sasa nisaidieni. mfano wa problem ni kama vile Student perception toward mathematics at university level.ikiwa ni msaada nitafurahi na kushukuru sana aatakaye saidia, akitaka chochote pia twaweza ongea lakini nimefulia mbaya mazee, plz.
Tumia internet na ubongo wako vizuri utafanikiwa .
Nchi yetu imefikia hapa ilipo kwa vitu kama hivi. Kama proposol tu unaomba msaada, je project yenyewe.
Wewe andika proposal lete hapa wataalamu watakusaidia kuirekebisha ikidhi viwango.
Elewa nia ya wewe kuandika proposal sio kushinda tenda, nia ni wewe uelimike sasa ukisaidiwa utakuwa umeelimika nini? Na mbaya unataka msaada bila wewe uonyesha jitihada.
Ahalafu unasema tiitle ya proposal kama vile yaani hata mpaka sasa hata title huna uhakika nayo.
Ushauri wangu
- tafuta title ya proposal yako
- Ni kwa nini umechagua tiittle hiyo
- ielewe ni aina gani ya proposal/project yako ( Research, experiment,etc)
- Jua ni nyenzogani utahitaji, utatumia( watu ,vifaa shule, fedha)
- Jua aina gani ya data utatafuta
- Kadiria muda utakaochukua kukamilisha project yako
- Ugumu,contraints unazozani utapata kwenye proj yako
- Elezea ukubwa au scope au mipaka ya poriject yako.
ukijibu hayo maswali ni kama umeandika proposal
muda umeniishia kabisa na ninatakiwa kupeleka proposal kwa wakuu sasa nisaidieni. mfano wa problem ni kama vile Student perception toward mathematics at university level.ikiwa ni msaada nitafurahi na kushukuru sana aatakaye saidia, akitaka chochote pia twaweza ongea lakini nimefulia mbaya mazee, plz.
kuna watu wanaweza kukuandikia proposal for USD 3000 half now, half on completion.
Research yote at 7000 USD.
hapo lazima aout kama wabunge wa CDM
muda umeniishia kabisa na ninatakiwa kupeleka proposal kwa wakuu sasa nisaidieni. mfano wa problem ni kama vile Student perception toward mathematics at university level.ikiwa ni msaada nitafurahi na kushukuru sana aatakaye saidia, akitaka chochote pia twaweza ongea lakini nimefulia mbaya mazee, plz.