I think Plaigarism does not apply in Tanzania......,:smile-big::lying:
Hivi sasa mtu ukipata misaada ya kudesa humu, halafu ukapate degree, baadaye ukiingia mtaani na wewe utajiita msomi? This is very sad really.
muda umeniishia kabisa na ninatakiwa kupeleka proposal kwa wakuu sasa nisaidieni. mfano wa problem ni kama vile Student perception toward mathematics at university level.ikiwa ni msaada nitafurahi na kushukuru sana aatakaye saidia, akitaka chochote pia twaweza ongea lakini nimefulia mbaya mazee, plz.