Mkuu kwanza pole sana najuwa mzazi yeyeto huwa anakuwa na raha na amani pale anapoona familia inafuraha vinginevyo full kuhangaika
nakushauli nilikuwa na mwanangu alikuwa na tatizo hilo,mpeleke kwa PROF Masawe huwa anapatikana Hindumadal hospital laikini kwa appointment neda Hindumandal omba appointment na Prof unafanikiwa
Pole sana
Jitu78
umemcheki masikio?huleta joto sana.pole sana waone specialist
Magonjwa kama degedege, polio na typhoid nayo huleta joto kali. Joto likizidi linaweza kuleta madhara mabaya sana kwa mtoto mdogo ikiwemo brain damage na kupooza. Unapaswa kuwahi sana kwa daktari mahiri hasa wa magonjwa ya watoto. Kila la heri.
Wataaalam nina mtoto mdogo wa mwaka mmoja na nusu anajoto kali sna yani ukimshika hivi mpaka anaunguza.nimempeleka hospitali wamemcheki hana maleria wala mkojo wake hana shida sasa anakunywa panadol lakini joto halishuki.pia tunamuogesha maji ya vuguvugu lakini wapi je nini kinaweza kua tatizo?am desperately waiting for your answers wakuu
Mkuu kuwa mwangalifu sana na watoto..na madawa.. Kama umeenda kwa Dkt na kuona hakuna kitu..jaribu kusubiri kwa siku moja au mbili zaidi..Sometime watoto wanapata infection ambazo zinaisha zenyewe.. Kumlimbikiza mtoto madawa kunaua uwezo wa mtoto kujitengenezea kinga zake mwenyewe..
ushauri...Tulia ..ila uwe 24 hrs alert.. mkipokezana kulala wewe na mkeo kupunguza joto ..ingawa ujasema ni nyuzi joto ngapi...Usimshauri dkt akupe dawa au kubadili hosptali ili tu kupata dawa...utamjaza sumu mtoto wako..
je, wewe huna ugomvi na majirani/wafanyakazi wenzako? tangu mtoto azaliwe ulishampeleka kwa wazee? au ulishawahi kumtambulisha mwanao baada ya kuzaliwa kwa wazee wa mtaani?
Mpeleke mtoto kwa daktari wa watoto na kusiwe na limit ya uchunguzi atakaofanyiwa!
Sio kila kiu inasababishwa na upungufu wa maji kwahiyo ongea na daktari apanue uchunguzi wake.Na ikiwezekana google matatizo yote yanayoweza kusababisha joto kwa mtoto uende na list yako just incase dr akihitaji kufundishwa sijui kukumbushwa kazi yake kidogo ufanye hivyo!!
Poleni pamoja na mtoto ... kila la kheri!