urgent: msaada wa anti raping drugs kuzuia maambukizo

urgent: msaada wa anti raping drugs kuzuia maambukizo

wehoodie

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2011
Posts
1,031
Reaction score
1,013
wadau
nimempigia simu my nikka leo kumjulia hali....akawa anaraha kabisa...akanieleza kuwa usiku uliokwisha alipata kilevi katika baa moja baada ya kilevi kukolea na mishebeduo ya bar maid, akajikuta amekwenda na yule mhudumu ambapo anasema kinachomkwaza hasa ni kuwa hakutumia gloves kwenye hiyo huduma ya haraka. Sasa nikamshauri kuwa awe mpole tu pengine mhudumu ni salama......sasa hivi nimekumbuka kuwa kuna dawa ambayo wahanga wa ubakaji hupewa kuondoa uwezekano wa maambukizi ndani ya muda fulani. Mwenye ufahamu tunaomba maelezo ya dawa ili nimshauri jamaa angalau apunguze wasiwasi:

updates: kufuatia ushauri wa mdau kuwa hiyo post exposure treatment inatakiwa jamaa apime then apatiwe 1month dosage; jitihada za kupata wataalam wa hiyo huduma katika hospital zimegoma kwa kuwa leo ni jumapili hivyo mpaka kesho. Wakati huo huo masaa 72 yamakaribia hivyo ili kupata uhakika nimemshawishi jamaa amshawishi huyo mhudumu wakapime pengine hana kitu. Nimefaciliate hiyo discussion remotely na binti amekubali kwenda kupima baada ya ushawishi mwingi. Kwa ufupi binti hana wasiwasi anajiamini yuko poa na kuwa alikuwa akimzimikia jamaa wala hana kawaida ya kugawa tamu yake hovyo hivyo jamaa asiwe na wasiwasi. Kesho asubuhi wanaenda wote kufanya blood screening. Update ya matokeo ya upimaji itafuata kesho.
 
Kwa hiyo alifanya ngono HALISI!?? dah!
 
Anatakiwa apewe PEP yaani post exposure prophylaxis, ambapo anatakiwa kupima kwanza ili waone kama anamaambukizi ya vvu, kama hana atapewa ARVS atameza for one month if i do not mistaken lakini watakuelekeza. Ikiwa anamaambukizi ya vvu hatapewa ARV itabidi awe counselled na asubiri wakati ukifika aanzishiwe arvs. This is my advice says Dr Mupirocin
 
kwani toka jamaa mkware akamue barmaid hayo masaa ya tahadhari hayajapita tu?
 
....kwani si "ametahiriwa"!!
...asiwe na shaka, ila iwe ni somo kwake na kwangu pia....
 
Mkuu wehoodie,

Post Exposure Prophylaxis(PEP)..inatolewa kwa "wahanga" kama ulivyosema lakini mtu huyo uliyemtaja hayuko katika kundi hilo...kuzuia maambukizo katika kubakwa(kama ulivyowekwa katika thread title yako)..moja lazima upate form toka polisi, na kisha ndipo umuone daktari.

Lakini tunapoongelea kubakwa inapicha tofauti katika maelezo uliyotoa(tuachane na hilo turudi katika mada)..Hivyo kwa sababu mbalimbali PEP hutolewa, kwa baadhi ya "watu"(candidates).

Ningekushauri, kumsaidie akapime (wote wawili)..wakapate ushauri pia..pia kumshauri mazingira ya namna hiyo yasijirudie.
 
Last edited by a moderator:
Umalaya nao ni kazi mshahara wake ndo huo na sio mahela.
 
Back
Top Bottom