Wakuu kwema?
Wakuu natafuta nyumba ya kupanga, mkataba nakokaa umeisha. Hali ya uchumi imeyumba hivyo nimeona sitaweza kulipa pesa nayolipa hapa, hivyo natafuta nyumba ya nusu bei ya hapa. Iwe na vyumba viwili vya kulala, jiko, sebule, dinning room, choo, bafu, umeme wa kujitegemea, maji na usalama pia(fence)
Na ningependa mkataba wa miezi mitatu (3) kwanza.
Madalali hela ya mwezi sina kwa kweli, ila najua tunaweza elewana (Tunasaidiana kibinadamu)
Nyumba isiwe mbali sana na main roads/kituo cha daladala
Tuwasiliane: 0679 395775
Wakuu natafuta nyumba ya kupanga, mkataba nakokaa umeisha. Hali ya uchumi imeyumba hivyo nimeona sitaweza kulipa pesa nayolipa hapa, hivyo natafuta nyumba ya nusu bei ya hapa. Iwe na vyumba viwili vya kulala, jiko, sebule, dinning room, choo, bafu, umeme wa kujitegemea, maji na usalama pia(fence)
Na ningependa mkataba wa miezi mitatu (3) kwanza.
Madalali hela ya mwezi sina kwa kweli, ila najua tunaweza elewana (Tunasaidiana kibinadamu)
Nyumba isiwe mbali sana na main roads/kituo cha daladala
Tuwasiliane: 0679 395775