Urgent please computer yangu ukifungua my computer ukitaka ku open kitu akifunguki

Urgent please computer yangu ukifungua my computer ukitaka ku open kitu akifunguki

Original Pastor

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2007
Posts
1,274
Reaction score
51
Wana JF habarini za Usubuhi poleni na majukumu ya hapa na pale.
Naomba msaada wa haraka nikitaka kufungua kitu kwenye my computer hakifunguki na mimi natumia NOD32 ANT VIRUS kwani pia inagoma ku update sasa naombeni msaada. Naenda kwenye my computer na open then nataka kama Drive C au F ni open inagoma. na Msaada mwingine ni kuhusu hii NOD32 inagoma ku update sasa mimi nimeshindwa kua update naombe msaada kwani hata maswali yangu nimeyaweka kama story please nahitaji mda huu.
 
Mara ya mwisho ndio wewe uliokuwa unataka pirated softwares si ndio wewe ? hakikisha cha kwanza unatumia programu ambazo sio pirated inluding hiyo antivirus uliyo install
 
Mara ya mwisho ndio wewe uliokuwa unataka pirated softwares si ndio wewe ? hakikisha cha kwanza unatumia programu ambazo sio pirated inluding hiyo antivirus uliyo install


Ile ni Computer ya mtu nilianzima ikaniharibikia na hii yangu nilinunua ikiwa na ipo na program hizi pamoja ant virus sasA ACHA HIZO BANA NISAIDIE
 
Najaribu kukuPM lakini nashindwa,labda naweza kusaidia japo kidogo
 
Njia rahisi ni kufanya system restore

Zima unapowasha Bonyeza f8 nenda kwenye safe mode kisha chagua kufanya system restore chagua siku ya mwisho ambayo comp yako ilifanya kazi uzuri ikikubali tumia utilily kama windows care au arafasoft itaweza kukusaidia kuondoa kasheshe nyingi sana kwenye computer yako
 
Mara ya mwisho ndio wewe uliokuwa unataka pirated softwares si ndio wewe ? hakikisha cha kwanza unatumia programu ambazo sio pirated inluding hiyo antivirus uliyo install

shy yuko makini. killing u softly.
 
Mkuu hebu jaribu kufuata hatua hizi labda zaweza kusaidia kuondoa tatizo lako

1.Fungua Start>>Run kisha type cmd na upress Enter..Hii itafungua command prompt window,kwenye command prompt window type hatua zifuatazo

2. type cd\

3. type attrib -r -h -s autorun.inf

4. type del autorun.inf

5. now type d: and press enter for d: drive partition. Now repeat steps 3 and 4. Similarly repeat step 5 for all your hard disk partition.


Baada ya hapo Restart computer yako..kama mambo yameenda fresh tatizo lako litakuwa limeisha


NB

Kama vp waweza ku right click pale kwenye drive unayotaka kufungua then una click Explore(kama una shida sana ya kuziangalia hizo files) hapa drive itafunguka na unaweza kuangalia mafaili yako
Ikishindikana kabisa itabidi uformat upya Drive C yako na kuweka Antivirus nzuri au unaweza kufungua hapa http://www.troublefixers.com/scan-a...uninf-with-autorun-eater-virus-removal-tools/ na hapa http://www.troublefixers.com/tag/autoruninf/
 
Mkuu hebu jaribu kufuata hatua hizi labda zaweza kusaidia kuondoa tatizo lako

1.Fungua Start>>Run kisha type cmd na upress Enter..Hii itafungua command prompt window,kwenye command prompt window type hatua zifuatazo

2. type cd\

3. type attrib -r -h -s autorun.inf

4. type del autorun.inf

5. now type d: and press enter for d: drive partition. Now repeat steps 3 and 4. Similarly repeat step 5 for all your hard disk partition.


Baada ya hapo Restart computer yako..kama mambo yameenda fresh tatizo lako litakuwa limeisha


NB

Kama vp waweza ku right click pale kwenye drive unayotaka kufungua then una click Explore(kama una shida sana ya kuziangalia hizo files) hapa drive itafunguka na unaweza kuangalia mafaili yako
Ikishindikana kabisa itabidi uformat upya Drive C yako na kuweka Antivirus nzuri au unaweza kufungua hapa http://www.troublefixers.com/scan-a...uninf-with-autorun-eater-virus-removal-tools/ na hapa http://www.troublefixers.com/tag/autoruninf/


Mkubwa nashukuru sana wewe na Shy amenisave sana ila Shy anamadongo sana. Wewe kwa mchango wako nimefanikiwa pia nawashuru sana inabidi nirudie rudie haya. Poleni kwa majukumu ya kujenga Taifa letu
 
Op
kemea visasi kuna vifaa vingi mtu anatengeneza huku anatangaza
matatizo ya ukoo wao ukinunua unaondoka nayo we unajua comp pekee
vunja vunja sawa na yer 1:10,upande baraka kutokuwezwa,yer 1:12 anasikiliza neno na kulitimiza ;vunja visasi,wasimamizi wote waliotenegeneza
hiyo computer
zima alafu washa;ukinunua vitu jifunze kujivua laana,utashangaa hakuan virus wala vairasi
 
Shy acha madogo ingawa nimefanikiwa na ninajua upo juu kwa IT sasa nashukuru sana ila be care mzee unaweza ukauwa watu kwa presha. msaidie mtu mzee soma zaburi 23
 
Ndugu mimi sina madongo napenda kuweka vitu wazi sasa usipoambiwa ndugu kuhusu pirating siku unaweza kuingia kwa watu ukafungwa bora uambiwa sasa ujue , ila sina nia mbaya na wewe ni kurekebishana tu
 
Mambie aka i uze...si na yeye ali uziwa...au alitenge neza...ni brand gani hiyo...

Original Pastor - ?
 
Nashukuru nimeshaiuza kwa jamaa baada ya kufanikiwa tu. nimeuza dola USD 700. asante Wana JF, Mheshimiwa Shy usijali nashukuru unanisaidia sana.Mungu akubariki. Na ubarikiwe uje kanisani kwetu hapa Ubungo Maji Uje upate Upako
 
Inshallah kama ni hapo kwa gwajima mdogo wangu ni muumini wa hapo naishi karibu na hapo kidogo tu , Hongera na wewe ubarikiwe
 
pole sana mdugu yangu,unatumia OS ipi?nikimaanisha Operating system gani watumia?kama ni Windows Vista,unatakia kui-update kwanza,hiyo node32 kama sio ya kununua itakuwa imeisha mda wake,labda uninstall and then install tena...kufungua drive yoyote andika jina la drive baada ya kufungua my computer,mfano c: then gonga enter kwenye keyboard
 
Back
Top Bottom