Urgently it graduate needed

Baba Erick

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
483
Reaction score
75
Hi wadau naomba graduate yeyote wa IT ambaye hana kazi na yuko dar anitumie Cv TU kabla ya saa tatu na awe tayari kwenda kwenye interview kuna kampun wanahitaj watu 2 haraka leo hii. Nipm nikutumie email yangu kama kweli unashida.
 
tumeona wakati sasa tatu imepita hii
 
da aisee nimechelewa....he he he au naweza tupia sasa hivi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…