Urgently: Naombeni muongozo wa kufuata baada ya kupoteza vyeti vya taaluma

Urgently: Naombeni muongozo wa kufuata baada ya kupoteza vyeti vya taaluma

Pharm D

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2017
Posts
1,235
Reaction score
3,008
Dear all, naombeni msaada ni hatua gani za kufuata endapo utapoteza vyeti vya taaluma, kuanzia cha kuzaliwa, SCEE, ACSEE na Professional certificates...
Vinahitajika na muajiri
 
Dear all, naombeni msaada ni hatua gani za kufuata endapo utapoteza vyeti vya taaluma, kuanzia cha kuzaliwa, SCEE, ACSEE na Professional certificates...
Vinahitajika na muajiri
Miaka zaidi ya 12 sasa na nimebadilisha kazi mara kibao ila ni sehemu moja tu niliambiwa nibebe mavyeti yangu original. Sehemu nyingi wanataka certified copies, so kama vyeti uliviscan ukavihifadhi unaprint tu unampa mwanasheria anagonga mhuri(unayemjua ili asilazimishe ulete orginal avione). Tuwe na tabia ya kuscan na kuhifadhi kielectronic kila document ya muhimu. Ukweli ni kwamba vyeti kama vya elimu kuanza kufuatilia upewe vingine ni mtihani mkubwa na niliwahi kuskia NECTA hawatoi tena cheti kama umepoteza sijui kama ni kweli.
Anyway anza kufuatilia kila kimoja kwenye bodi yake iliyotoa andaa na kahela kadogo ili mambo yaende haraka, pia tangaza kwenye magroup ya whatsapp majina yako, inawezekana kuna msela aliviokota huko ila hajui avipeleke wapi
 
Dear all, naombeni msaada ni hatua gani za kufuata endapo utapoteza vyeti vya taaluma, kuanzia cha kuzaliwa, SCEE, ACSEE na Professional certificates...
Vinahitajika na muajiri


Vyeti ambavyo umepoteza unaweza kufanya hivi

Kama ni necta utapewa cheti mbadala ambacho kitaonesha kuwa umepita hiyo hatua

Ila vya chuo unaweza fika chuoni unawapa uthibitisho wowote then watakuchapishia cheti chako
 
Dear all, naombeni msaada ni hatua gani za kufuata endapo utapoteza vyeti vya taaluma, kuanzia cha kuzaliwa, SCEE, ACSEE na Professional certificates...
Vinahitajika na muajiri
Kama uko Dar kwa vyeti vya NECTA sogea kwenye banda NECTA kwenye maonesho ya Sabasaba. Hapo wanatoa vyeti mbadala.

Kwa vyeti vya chuo nenda chuoni kwako.

Cheti cha kuzaliwa nenda LITA.

KUMBUKA KUPITIA POLISI KWA AJILI YA LOSS REPORT.
 
Kama uko Dar kwa vyeti vya NECTA sogea kwenye banda NECTA kwenye maonesho ya Sabasaba. Hapo wanatoa vyeti mbadala.

Kwa vyeti vya chuo nenda chuoni kwako.

Cheti cha kuzaliwa nenda LITA.

KUMBUKA KUPITIA POLISI KWA AJILI YA LOSS REPORT.
Fanya hivi hapa na wanavyopenda misifa wafuate Sabasaba umeula mpaka watu wa vyuo wapo kule RITA wapo kule ni Wewe tu
 
Nectar , hawawezi kupa vyeti og kama walivyo toa , form 4 , 6 au Wala std 7 , ila wanakupa notification of results au something kind like.....ila. Kwa chuo unapewa duplicate certificate aseeeeeeee
 
Nectar , hawawezi kupa vyeti og kama walivyo toa , form 4 , 6 au Wala std 7 , ila wanakupa notification of results au something kind like.....ila. Kwa chuo unapewa duplicate certificate aseeeeeeee
hata necta wanatoa duplicate copy ya cheti chako.... m nlipewa baada ya kusubiria ten months
 
Back
Top Bottom