tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
Tindikali...elezea zaidi..habari yako ni nusu nusu...tutor wa chuo gani..aweje..salary!
Tindikali...elezea zaidi..habari yako ni nusu nusu...tutor wa chuo gani..aweje..salary!
dada white umejuajeAna suplementaries anataka kufundishwa ili akazichomoe.
Mi si jiniaz wa kike naeishi Sinza kwa Mtogoledada white umejuaje
Mi si jiniaz wa kike naeishi Sinza kwa Mtogole,MNALETA UTANI? EEEH ENDELEENI BY A.S.P SAMITI
kwani sinza hawezi kuishi jiniazMi si jiniaz wa kike naeishi Sinza kwa Mtogole,MNALETA UTANI? EEEH ENDELEENI BY A.S.P SAMITI
eti eeh..karibu kwetu Tandale kwa TumboMi si jiniaz wa kike naeishi Sinza kwa Mtogole
Hamna jipya hapa
Ana suplementaries anataka kufundishwa ili akazichomoe.
Huna lolote we ndo umedhirisha UBONZO wako kwa kuandika tangazo la kazi utafikili matangazo ya WAGANGA wa jadi.vilaza utawajua tu, unawashwa na nini dada?
kwa aliyesoma b.com in finance au b.com in accounting anaweza kunipm kwa more details.
Kama upo tanga, moshi au arusha itakuwa njema zaidi.
Asanten
U-Tomaso ndo unaowaponza, unatumia vigezo gani kusema hamna kitu? Mtu kashaajiriwa na kazi anaanza Jumatatu.
we endelea kukesha humu na utasubiri sana, sikuja kuonesha ubingwa wa kuandika matangazo na sidhani kama kuwa au kutokuwa na lolote kuna msaada wowote kwako. Kama kuandika nilichoandika unadhani ni ubonzo acha tu nikupongeze kwa hilo.Huna lolote we ndo umedhirisha UBONZO wako kwa kuandika tangazo la kazi utafikili matangazo ya WAGANGA wa jadi.
Siku nyingine kabla hujaandika Tangazo la kazi angalia wenzio wanaandikaje then coppy and paste sio u atuandikia Tangazo utadhan umelazimishwa.
kwani sinza hawezi kuishi jiniaz
Lazima uwe ''jiniaz'' ili uweze kuishi kiujanja ujanja-Sinza kwa Wajanja!