Je umepata chuo gani? Nenda kafanye usajili, halafu umuulize Afisa/Waziri wa mkopo hayo maswali yako, ukiona hakujibu sahihi, kama unao ubavu, kaulize bodi. Wakati mwingine uweke maelezo sahihi, inakuwa vigumu kupata ushauri ikiwa kama umeandika kama unachati na rafiki zako.