mtambo mlay
Member
- May 27, 2013
- 6
- 0
Habarini za siku wanajamii fr?naomba msaada kwa yeyote ambaye anamwalimu yeyote anayemfahamu anayefundisha katika shule ya lindi secondary anipatie namba zake na kihororo sec school iliyoko bukoba pia au kama wewe unafundisha katika shule hizi mkuu nifahamishe.kuna machalii zangu wamepangiwa huko kutoka kilimanjaro(moshi).namba zangu +255 (0) 658261309, +255 (0) 758261309.Thanks sana wakuu tuko pamoja