Mwana Taaluma
JF-Expert Member
- Oct 21, 2019
- 705
- 1,662
Asante kwa kuchangia.
Umri umenikosesha mume[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Nahitaji mke before next year.
Habari waungwana naomba nisieleweke vibaya.
CV zangu
Darasa la5
Street vendor
Lusaka
Mrefu
Mwembamba
Serious guy
29yrs
CV yako
Kuanzia 4m4 and fluently in English language isifike masters
Slim and cute
Natural and honest
Worth and hard worker
Under 35 over 28
Must be humble and faithful, I'll be care for this and I'm professional investigator.
I don't care if you are single mother or widowed
This for only serious ladies
You welcome to me.
Kwan nyumba si maelewanotu.Umri umenikosesha mume[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]nimeona kila kitu sema kwenye huu Uzi sisemi kitu usije kosa mchumba.Kwan nyumba si maelewanotu.
Alafu umeiona headline hyo?
Unataka kunichota akili?. Kwa jinsi ninavyo soma comment zako u wa miaka 30/2. Una utulivu sana kuzungumza na mtu na unamjenga kumpeleka Kule unapotaka. Pia tutashindwana kwasababu Mimi ntashindwa kukupetipeti kwa kiingereza nikihofia kukosolewa.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]nimeona kila kitu sema kwenye huu Uzi sisemi kitu usije kosa mchumba.
Miaka 20 nitafaa?
Kweli sijafika huko hiyo miaka.Unataka kunichota akili?. Kwa jinsi ninavyo soma comment zako u wa miaka 30/2. Una utulivu sana kuzungumza na mtu na unamjenga kumpeleka Kule unapotaka. Pia tutashindwana kwasababu Mimi ntashindwa kukupetipeti kwa kiingereza nikihofia kukosolewa.
Asante, kwa hiyo sasa utanipunguzia vigezo[emoji13][emoji13][emoji13]?Sawa ila hongera unautulivu sana
Sasa unaogopa nini mbona mimi siogopi.Bana mwenzio naogopa kukujibu hapa barazani ujue.
Si alisema yeye ni la 5Urgentry!!
Aibu nimeona mimi[emoji17][emoji17]
Sasa unanikubalia hapa au kunikatalia hapa ili watu wajue umeshapata au bado.Mama hayo mambo ya falagha kuyaongelea hadharani ndio husababisha hata tabia za kuiga kama openly deep kiss
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]yaani ndio unanizungusha hivo mwana Taaluma?Ngoja nijifikirie nitakujibu
Ha haaa. Jamii forums bana[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]yaani ndio unanizungusha hivo mwana Taaluma?