Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

Mfalme Daudi - umeelezea vizuri - lakini unaonaje kuhusu hii bia ya watu kupenda 0713 - haufikirii kuwa ikawa cha

nzo kikubwa cha UTI - badala ya kusema wagonjwa wanakuja na majibu yao? Inawezekana wagonjwa wanajua kile walichokifnya - ndio maana wana majibu.
 
Duuh mkuu
 
Wazee wakazi mchumba angu anasumbuliwa sana na hii kitu naomben anaejua dawa nzur kwa uti sugu aseeh mm nimepima nikovizur sina uti ila yeye ni wimbo wa taifa yan msaaada naomben jamaan naomben sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazee wakazi mchumba angu anasumbuliwa sana na hii kitu naomben anaejua dawa nzur kwa uti sugu aseeh mm nimepima nikovizur sina uti ila yeye ni wimbo wa taifa yan msaaada naomben jamaan naomben sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ameshatumia dawa gani Kwanza mpaka ukahisi hio ni sugu? Na huo ugonjwa kwake una mda gani? Pia ukiweka umri wake itakua vizur? Ukinijibu hayo naweza alau kukushauri.
 
Nilisumbuliwa na U.T.I kwa miaka 4,nilitumia kila dawa na nilifikia hatua ya kukata tamaa.
Ila niliingia Youtube ili kuona kama naweza pata tiba mbadala,kupitia TOP TEN TV nilipata tiba ya moja kwa moja.

Chukua kijiko kimoja cha BICARBONATE OF SODA(ina boksi la blue na chapa ya simba),changanya na maji safi na salama ya kunywa yenye ujazo wa 400 mls(Nusu lita kasoro mils 100)koroga mpk B.S ichanganyike vzr,
Kunywa maji yote then usubiri kwa muda wa dk 45 ndio unywe chai.

Mchana kbl ya kula,tengeneza mchanganyiko mwngn,kunywa,subiri 45 ndio ule.

Usiku fanya hivyo hivyo,Kama U.t.I ni sugu fanya zoezi hili kwa siku 7 na kama sio sugu kwa siku 3.

Nilipona kbs U.T.I
 
NOTE: asije akatumia BAKING POWDER,ni BICARBONATE OF SODA(Magadi)
 
Wazee wakazi mchumba angu anasumbuliwa sana na hii kitu naomben anaejua dawa nzur kwa uti sugu aseeh mm nimepima nikovizur sina uti ila yeye ni wimbo wa taifa yan msaaada naomben jamaan naomben sana

Sent using Jamii Forums mobile app
jibu hayo aliyosema mkuu apo juu, then tujue tunakusaidiaje... lakini pia tofauti na dawa anazotumia je namna yake ya kuishi huwa anabadili akishatumia dawa, maana unaweza sema ni sugu kumbe akitumia dawa anapona afu anapata maambukizi mengine... hii inaweza sababishwa na nguo za ndani anazovaa kubaki na vimelea, kama maambukizi huwa anayatoa bafuni au chooni bado anarudi kule kule na kwa style ile ile...
nashauri pia, achukue vipimo vya uhakika... some time watu wa maabara zetu huwa wanakimbilia conclusion ya uti, kumbe ni fungus ama sti....
leta maelezo ya kutosha tujue uzito wa tatizo, then tutakushauri the best way ya mpenzi wako kupona
 
Habari wataalam wa jukwaa hili,

Nimewahi kwenda hospital kupima nkaambiwa nna UTI, nkamuuliza dr kama inaambukiza akasema haiambukizi, lakini katika kuongea na watu huku mtaani pamoja na mijadala kwenye mitandao, wengine wanadai inaambukiza,

Wakuu naomba kufahamishwa zaidi kama kweli inaambukiza au haiambukizi...
 
Hello
UTI imekua tatizo sana kwa wanaume na wanawake, kuna watu imetibika wengine wanakunywa magunia ya dawa na sindano bila mafanikio, natumai unajua chanzo dalili na madhara ya ugonjwa sitayasema.

Nilikimbizana na uti kwa muda mrefu zaidi ya miez nane, kila nikibadili dawa wapi, hadi nikakata tamaa, ilianza kama utan nilianza kuwashwa na kutoka usaa kweny uume nilijua gono kumbe uti nilipoteza hela za vipimo na dawa zaidi ya laki nne, naandika Uzi huu nikiamini wengi wanapitia na watapitia, itasaidia kujua niliponaje.


Nilichofanya nilifanya utafiti wakutosha kwenye web na blog za English na kiswahili nikagundua wote wanamaelezo yale yale, nikachukua mbinu kila sehem na kuziunganisha, unapotibu ugonjwa huu ukiwa sugu inabidi iwe kazi kazi otherwise itachi kizazi na ikipanda kwenye figo ni hatari.

Kama uko busy kazini itabid uombe ruhusa kabisa kwa wiki mbili.

Nilichoma zile sindano tano, nikaunga na vidonge vya azuma packet nne, wakati natumia vidonge makali yalikua yamepungua kidogo, nilikua nakunywa maji lita tano kwa siku, kama una choo cha ndani itafaa sana, usinywe yabaridi hutaweza kunywa ya uvugu vugu taratib kikombe kwa kikombe huku unafany mambo mengine,

Niliacha kabisa sukari, ni chakula cha bacteria, iwe yenyewe au iliyo kwenye biscuit cake maandaz nk, itabid ule dona mboga majani na maharage, wengi wanakosea kwenye chakula wanawalisha wadudu, hii nikuanzia unapoanza matibabu hadi mwisho.

Nilikua natumia mchai chai nachemsha, nakunywa mara mbili kwa siku nachanganya na baking soda ukipoa, hii ilisaidia sana muwasho wote uliisha
Mchai chai ni ule ulio kama nyasi mana iko mingi.

Nilikua napiga zoez karib kila siku na niliacha kufanya mapenzi, kama una mpnz hakikisha wote mnapitia hizi hatua mana utafanya kazi bure itajirudia

Nilichogundua uti ni neno la jumla linalowakilisha mashambulizi kwenye njia ya mkojo manake hakuna bacteria mmoja madaktari hawana elim wanatoa tu dawa bacteria anazifanya msos wa jion

Ushauri wangu wa mwisho kama dawa za hospital zikigoma usiendelee nazo utasababisha matatizo mengine, dawa ni sumu fuata ushauri niliokupa ukifeli nunua dawa asilia kutoka herbs japo nigharama sana jama yang alichukua dose kwa elf tisini, lakini alipona, alifuata pia maelekezo niliyoyatoa hapo juu .
From
Paternus
 
Dalili za sukari zinafanana sana na UTI niliwahi kuhisi nina UTI baada ya vipimo sikukutwa na UTI ila sukari. Nilianza masharti ya kuacha kabisa sukari na vywakula vyenye wanga mwingi sasa hivi ni mzima kabisa
 
Baking powder ulikuwa ukiweka kiasi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…