Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Badala ya kusubiri hizo siku ili upate uthibitisho kwamba ujauzito bado upo au la kwanini usiende/msiende hospitali kuangaliwa haraka iwezekanavyo na kama kwa bahati mbaya ujauzito umeharibika basi hatua muafaka za kusafishwa haraka ziweze kufanyika!?
mkuu uliharibika kwa bahati mbaya na alipelekwa hospital akasafishwa ila bado anasema anajisikia dalili za ujauzito
mkuu uliharibika kwa bahati mbaya na alipelekwa hospital akasafishwa ila bado anasema anajisikia dalili za ujauzito
Hiyo inatokana na hormones zilizokuwa zinalea mimba, hiyo hali itapotea baada ya muda kama mwezi mmoja hivi
Hiyo shughuli ya kuhakikisha kwamba bado mjamzito au la si ya kuifanya wenyewe nyumbani. Inabidi mrudi hospitali wakamuangalie tena wataalamu labda hakusafishwa vizuri, kila la heri.
Habari za asubuhi ndugu zangu;
swali langu ni kama ujauzito umeheriika kipimo cha mkojo cha kupima ujauzito kinaweza kuonesha kwamba ujauzito haupo baada ya siku ngapi?
not well understood sir..Habari za asubuhi ndugu zangu;
swali langu ni kama ujauzito umeheriika kipimo cha mkojo cha kupima ujauzito kinaweza kuonesha kwamba ujauzito haupo baada ya siku ngapi?
Pole mkuu kwa kula hasara
Pole mkuu kwa kula hasara
not well understood sir..
Hiyo shughuli ya kuhakikisha kwamba bado mjamzito au la si ya kuifanya wenyewe nyumbani. Inabidi mrudi hospitali wakamuangalie tena wataalamu labda hakusafishwa vizuri, kila la heri.