Urine pregnant test

Mbunifu 11

Senior Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
104
Reaction score
52
Habari zenu wakuu,

Naomba kufahamishwa hili; Urine Pregnant Test inaweza ku-detect ujauzito wa siku ngapi?

Asanteni.
 
it can be tested and give result between 6-12 days after ovulation and fertilization took place
 
Inategemea wengine hata siku 3 tu, kuna binti alijaribu wiki 1 hola, wiki 2 hola, wiki ya 3 hola hadi akajiamini hakuna kitu, loh! wiki ya 4 kitu kikasoma
 
Inategemea wengine hata siku 3 tu, kuna binti alijaribu wiki 1 hola, wiki 2 hola, wiki ya 3 hola hadi akajiamini hakuna kitu, loh! wiki ya 4 kitu kikasoma
Hivyoeee,yani mimi hapa nina baadhi ya dalili za ujauzito lakini kitu kimesoma negative,na leo ni siku ya 17.Sijaelewa ni nini hasa.
 
Teh teh teh . . sijui ni ww au umeazimisha ID yako kweli 17th days utrasound? yaan hata mbegu zilizokufa hazijadondoka zote kitaonekana nn hapo teh teh teh. . . . .
Naomba ushauri wako mkuu ikiwezekana.
 
Naomba ushauri wako mkuu ikiwezekana.

Mbegu hukaa masaa had 72 kama yai lilikua bado. ovulation nayo masaa 72, detaction masaa72, hapa tunaasum kila kitu kimefanyika mwisho wa mda maalum. hivyo una masaa 216 sawa na siku 9hii ndo costant, hapa uhakika. pia inaweza cheza 6-12 days kuwa detacted hii ni wastani. ushauri kifaa kinaweza kuwa kibovu kisitoe majibu sahihi jaribu zaidi ya mara moja na sehem zaidi ya moja.lakini sio utrasound kwani kijusi bado hakionekani.
 
Nashukuru sana mkuu,barikiwa.
 
Hivyoeee,yani mimi hapa nina baadhi ya dalili za ujauzito lakini kitu kimesoma negative,na leo ni siku ya 17.Sijaelewa ni nini hasa.

Endelea kucheki tu kitakwambia, huyo mwenzio alijiaminisha kwamba hakuna kuja kustuka kitu
 
VIPI mchepuko umesema umepima urine ili kutest pregnancy?
 
Jaman hata mim nilkua najihic mjamzito kwenye tarehe 20 nikapima ckuona kitu lakin mpaka Leo tarehe 31 cjaona cku zng na cku zang ni tar21 je labda niliwah kupima
 
Jaman hata mim nilkua najihic mjamzito kwenye tarehe 20 nikapima ckuona kitu lakin mpaka Leo tarehe 31 cjaona cku zng na cku zang ni tar21 je labda niliwah kupima

Pima tena. Huwa hazina acuracy sana km umewahi kupima. Homrmone (hCG) zinazokua detected zinakua sio za kutosha kuleta positive results
 
Inategemea wengine hata siku 3 tu, kuna binti alijaribu wiki 1 hola, wiki 2 hola, wiki ya 3 hola hadi akajiamini hakuna kitu, loh! wiki ya 4 kitu kikasoma

si dhani kama ni kwel ika detect kwa sku 2 or 3...! kama ukiangalia kwenye princple ya HCG(Human chorionic gonadotropin) hormone huwa ina be release baada ya week 2 na ndio inayo pelekea kichefuchfu.& na dalili zote za mimba ivyo basi ili kudetect earl pregnancy ni lazma iwe zaidi ya week 2 ambayo itakuwa exess kwenye urine...nasema iv kwasababu syo kwamba HCG aipo kwa kila mwanamke ipo ata kama hauna mimba ad kwa mwanaume pia ipo...ila ukipma kwenye UPT hakiwez detect sababu inakuwa aiko nyngi....ivyo basi mimba ya chni ya week 2 hakiwez soma..!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…