maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
Asee nisiwachose wala nini, now niko Bush flani hivi uku Iringa kwene harakati za kusaxa msosi wa kila siku
To be honesty mi napenda sana nyama asa leo katika mizunguko yangu kwene harakat zangu nikaingia nyumba moja nlivo na upepo nilifika mda wa lunch nikakaribishwa pale nikajitia kugoma kama mara nne hivi asa maza nae mtata akanipakulia chakula kibabe afu akasema chakula icho apo kama utakua umeamua kunidharau mama ako poa
Mzee mzima nikajivunga kama dakika mbili sina mpango wa kula, nikaona maza kaanza kubadilika sura kama anamaindi flani, nikajisemea ngoja nile kwa kumridhisha yeye, menu ilikua ni ugali na maharagwe afu pembeni nimewekewa vinyango pale havina idadi
Nikaanza kula mdogo mdogo nikala vinyango vyote afu nikavisifia vitamu kiquma nikaona maza anatabasamu kimoyo moyo nikajisemea maza kasharidhika
Nimeondoka pale nikarudi kuwapa story washkaji, mshikaji mmoja akaniambia haaaaah basi ushakula mbwa wewe kimoyo moyo nikamjibu basi kama ile nyama ni ya mbwa kweli basi mbwa mtamu sana siachi kula leo wala kesho
Kama hadi leo hujawai kula nyama ya mbwa pole sana huna haja ya kuendelea kuishi hii dunia, Fanya kutafuta kambwa fasta uone maajabu ya nyama ya mbwa
To be honesty mi napenda sana nyama asa leo katika mizunguko yangu kwene harakat zangu nikaingia nyumba moja nlivo na upepo nilifika mda wa lunch nikakaribishwa pale nikajitia kugoma kama mara nne hivi asa maza nae mtata akanipakulia chakula kibabe afu akasema chakula icho apo kama utakua umeamua kunidharau mama ako poa
Mzee mzima nikajivunga kama dakika mbili sina mpango wa kula, nikaona maza kaanza kubadilika sura kama anamaindi flani, nikajisemea ngoja nile kwa kumridhisha yeye, menu ilikua ni ugali na maharagwe afu pembeni nimewekewa vinyango pale havina idadi
Nikaanza kula mdogo mdogo nikala vinyango vyote afu nikavisifia vitamu kiquma nikaona maza anatabasamu kimoyo moyo nikajisemea maza kasharidhika
Nimeondoka pale nikarudi kuwapa story washkaji, mshikaji mmoja akaniambia haaaaah basi ushakula mbwa wewe kimoyo moyo nikamjibu basi kama ile nyama ni ya mbwa kweli basi mbwa mtamu sana siachi kula leo wala kesho
Kama hadi leo hujawai kula nyama ya mbwa pole sana huna haja ya kuendelea kuishi hii dunia, Fanya kutafuta kambwa fasta uone maajabu ya nyama ya mbwa