Urudishwe utaratibu wa Rais kuhutubia taifa, machafuko na maafa yasiyokuwa na majibu yanaongeza sana

Urudishwe utaratibu wa Rais kuhutubia taifa, machafuko na maafa yasiyokuwa na majibu yanaongeza sana

nusu kaputi

Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
54
Reaction score
122
Tanzania kwa sasa imekuwa ni nchi yenye matukio mengi sana, masuala ya ubakaji, watu kufa au kuugua bila taarifa, Afya kuwa ovyo n.k

Nchii hi msemaji mkuu ni Rais, kwanini usirudi utaratibu Rais wa nchi kuhutubia taifa kila mwezi?

Hii italeta dira ya nchi na taswira nzima na huenda hata matukio yakapungua.
 
Tanzania Kwa Sasa imekuwa ni nchi yenye matukio mengi sana, swala ubakaji, swala watu kufa au kuugua Bila Taarifa, Maswala ya Afya kuwa ovyo
Nchii hi msemaji Mkuu ni Raisi, Kwanini usirudi utaratibu Raisi wa nchi KUHUTUBIA TAIFA Kila mwezi Hii italeta Dira ya nchi na Taswira nzima na huenda hata matukio yakapungu
Hilo litasaidia je kupunguza umasikini?
 
Tanzania Kwa Sasa imekuwa ni nchi yenye matukio mengi sana, swala ubakaji, swala watu kufa au kuugua Bila Taarifa, Maswala ya Afya kuwa ovyo
Nchii hi msemaji Mkuu ni Raisi, Kwanini usirudi utaratibu Raisi wa nchi KUHUTUBIA TAIFA Kila mwezi Hii italeta Dira ya nchi na Taswira nzima na huenda hata matukio yakapungu
Tumeshakuwa wengi
 
Back
Top Bottom